Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,096
- 8,241
HeeehLindi
Tabora
Shinyanga
Dar
Arusha
Katavi
Rukwa
Mtwara
HeeehLindi
Tabora
Shinyanga
Dar
Arusha
Katavi
Rukwa
Mtwara
Nilifika march nikakaa hadi december, kwakweli hiyo miezi michache nilipauka mnooo sina hamu na hukoInaelekea ulifika kati ya Juni-Septemba
Nyama, kuku na wadada....🤣🤣🤣Unatumia akili aina gani mkuu ubaweza enda sehem kweli kabisa kwa sbb ya nyama au kupata wadada bure !?
Ndio vipaumbele vyangu.Unatumia akili aina gani mkuu ubaweza enda sehem kweli kabisa kwa sbb ya nyama au kupata wadada bure !?
Basi sawa ngoja wachukue bandarNdio vipaumbele vyangu.
Kuna wanaokwenda sehemu kwa sababu ya pombe.
Kigoma ndio nilipoOngezea kigoma, Dodoma
Sasa usela mavi unakuathiri vipi kimaisha?Arusha ule esela mavi na violence sipendi huu mkoa
Usiwastue waache wendelee kuuza maji DarKigoma ndio nilipo
Sasa nimeelewa kwann hangaya kauza bandari watu hawako na habari kabisa na vituvya maanaNyama, kuku na wadada....
hao akina dira yaani izaa!! wachawi na wanafki kinoma,kwa kukupenyewe kule ndo kilipo kiwanda chaoWewe hupendi vyuku!!!
Best wewe hupendi Vyuku kwa nini aisee!hao akina dira yaani izaa!! wachawi na wanafki kinoma,kwa kukupenyewe kule ndo kilipo kiwanda chao
Kuna Mikoa kiukweli Mimi ukiniambia nikaoshi ni kama umenipa adhabu kubwa... Mikoa ambayo sitamani kabisa kuishi ni
Dsm-Watu wengi,Kila sehemu Kuna nuka,uswazi,no space na prone Kwa Magonjwa kama kipindupindu nk
Mvua kidogo tuu inakuwa ni mafuriko,joto na jasho mda wote nk nk.
Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Hii shida kubwa ni zile zile watu wamerundikana kama Dar , umaskini uliotopea na mbaya zaidi Magonjwa ya Kansa ndio kwao.
Mwisho ni Wilaya za Makete,Longido,Simanjiro,Kondoa,Bahi,Ulanga na Mwanga.Hizi Wilaya maisha maisha hatari.
Una shida gani nao kwani?Mbeya, Arusha, Mara, kilimanjaro, njombe, na Iringa ni mikoa ya kipumbavu na always wananchi wake wote wa hiyo mikoa ni wapumbavu na wamelaaniwa kuna baadhhi
Sifa gani hizo utuambieMkoa ninao uchukia ni mkoa mmoja ambao sijawahi kufika ila sifa zake nimezisikia tu hadi nikauchukia na mkoa huo ni Lindi
Akuna kosa pale pako vyedi tu ila kupanga ni kuchagua.Pamekukosea nini
Wilaya ya Kondoa inashida gani kwani....😀😀Kuna Mikoa kiukweli Mimi ukiniambia nikaoshi ni kama umenipa adhabu kubwa. Mikoa ambayo sitamani kabisa kuishi ni
Dsm-Watu wengi,Kila sehemu Kuna nuka,uswazi, no space na prone kwa Magonjwa kama kipindupindu n.k
mvua kidogo tu inakuwa ni mafuriko,joto na jasho mda wote nk nk.
Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Hii shida kubwa ni zile zile watu wamerundikana kama Dar, umaskini uliotopea na mbaya zaidi Magonjwa ya Kansa ndio kwao.
Mwisho ni Wilaya za Makete, Longido, Simanjiro, Kondoa, Bahi, Ulanga na Mwanga. Hizi Wilaya maisha maisha hatari.