Mkoa gani hautamani kuishi hapa Tanzania?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
44,227
50,958
Kuna Mikoa kiukweli Mimi ukiniambia nikaishi ni kama umenipa adhabu kubwa. Mikoa ambayo sitamani kabisa kuishi ni

Dsm-Watu wengi,Kila sehemu Kuna nuka,uswazi, no space na prone kwa Magonjwa kama kipindupindu n.k
mvua kidogo tu inakuwa ni mafuriko,joto na jasho mda wote nk nk.

Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Hii shida kubwa ni zile zile watu wamerundikana kama Dar, umaskini uliotopea na mbaya zaidi Magonjwa ya Kansa ndio kwao.

Mwisho ni Wilaya za Makete, Longido, Simanjiro, Kondoa, Bahi, Ulanga na Mwanga. Hizi Wilaya maisha maisha hatari.
 
Kuna Mikoa kiukweli Mimi ukiniambia nikaoshi ni kama umenipa adhabu kubwa..

Mikoa ambayo sitamani kabisa kuishi ni

Dsm-Watu wengi,Kila sehemu Kuna nuka,uswazi,no space na prone Kwa Magonjwa kama kipindupindu nk
Mvua kidogo tuu inakuwa ni mafuriko,joto na jasho mda wote nk nk.

Mikoa ya Kanda ya Ziwa
Hii shida kubwa ni zile zile watu wamerundikana kama Dar , umaskini uliotopea na mbaya zaidi Magonjwa ya Kansa ndio kwao.

Mwisho ni Wilaya za Makete,Longido,Simanjiro,Kondoa,Bahi,Ulanga na Mwanga.Hizi Wilaya maisha maisha hatari.
Kilimanjaro hata unipe nyumba bure sikae
 
Kuna Mikoa kiukweli Mimi ukiniambia nikaoshi ni kama umenipa adhabu kubwa... Mikoa ambayo sitamani kabisa kuishi ni

Dsm-Watu wengi,Kila sehemu Kuna nuka,uswazi,no space na prone Kwa Magonjwa kama kipindupindu nk
Mvua kidogo tuu inakuwa ni mafuriko,joto na jasho mda wote nk nk.

Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Hii shida kubwa ni zile zile watu wamerundikana kama Dar , umaskini uliotopea na mbaya zaidi Magonjwa ya Kansa ndio kwao.

Mwisho ni Wilaya za Makete,Longido,Simanjiro,Kondoa,Bahi,Ulanga na Mwanga.Hizi Wilaya maisha maisha hatari.
Mkuu ukiwa na mkwanja kokote kunakua kuzuri imagine dubai na falme za kiarabu hakukua na maisha mazuri kwenye jangwa lakini leo mtu akioata pesa moja ya destination zake kwenye vacation ni dubai pesa inabadili kila kitu zisake mwanza na dar kuna maeneo ukiwa na mkwanja ukaweza kuishi hutojuta. Ila ukiwa maskini pia usipende kuchagua maeneo maskini hana jema
 
Kuna Mikoa kiukweli Mimi ukiniambia nikaoshi ni kama umenipa adhabu kubwa... Mikoa ambayo sitamani kabisa kuishi ni

Dsm-Watu wengi,Kila sehemu Kuna nuka,uswazi,no space na prone Kwa Magonjwa kama kipindupindu nk
Mvua kidogo tuu inakuwa ni mafuriko,joto na jasho mda wote nk nk.

Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Hii shida kubwa ni zile zile watu wamerundikana kama Dar , umaskini uliotopea na mbaya zaidi Magonjwa ya Kansa ndio kwao.

Mwisho ni Wilaya za Makete,Longido,Simanjiro,Kondoa,Bahi,Ulanga na Mwanga.Hizi Wilaya maisha maisha hatari.
Kwenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom