Mko wapi tujuane

Mko wapi tujuane

Acha uongo wew.seminari ya kwanza nchini ilifunguliwa mwaka 1903 huko bukoba inaitwa Rubya seminary na ndo imetoa mapadre wa kwanza nchini,maaskofu wa kwanza pamoja na kardinali wa kwanza mweusi duniani Kardinali Rugambwa.

Hizo seminary za juzi tu Wala sio za 1800s
Ni vizuri ukasoma mpaka mwisho ukaelewa kabla ya kutoa mawazo yako ya Kihaya.
Ni wapi kasema uongo?
 
Acha uongo wew.seminari ya kwanza nchini ilifunguliwa mwaka 1903 huko bukoba inaitwa Rubya seminary na ndo imetoa mapadre wa kwanza nchini,maaskofu wa kwanza pamoja na kardinali wa kwanza mweusi duniani Kardinali Rugambwa.

Hizo seminary za juzi tu Wala sio za 1800s
Rudia kusoma hujamwelewa
 
Sarungi aliukwaa uwaziri kipindi Cha AHM Wakati Makweta alianza uwaziri enzi za Mwalimu mwaka 1981.
Sisi wengine tulisoma enzi za yule mpare mkware Mgonja na baadaye mama Tabitha Siwale wakati ule Tanzania nzima shule za sec zilikua 189.
Lindi kulikua na shule moja
Kigoma moja
Pwani zilikua 6
Dar zilikua kumi na moja tu.
Kinondoni
Mzizima
Shaaban Robert
Zanaki
Kisutu
Jangwani
Azania
Tambaza
Kibasila
Pugu
Forodhani
Mgulani ilikua ya wanajeshi
Sasa hivi nasikia Dar Kuna zaidi ya shule Mia mbili za sekondari.
Tumeendelea.........
Hongera Mkuu...unasikia tu ukiwa wapi?
 
Back
Top Bottom