Tuanze kuorodhesha sekondari za kilimanjaro wakati huo hazikuwa 81 tuu zilikuwa zaidi ya 100. Nitaweka chache wengine watajazia.
1.Umbwe
2.Lyamungo
3. Moshi Technical
4. Old moshi
5.weru weru girls
6.Ashira girls
7. Machame girls
8. Mawenzi
9. Kibohehe
10.kibosho girls
11. Maua semiari
12. Uru seminari
13. St. James seminari
14. Kiraeni sekondari
15...........100 orodha hii ni kwa zile shule zilizokuwepo kabla ya mwaka1980 tuu. Tusiweke sekondari za kata. Karibuni wadau mchangie. Ili kuufahamisha uma wa Tanzania kwamba wakati makabila mengine yakiwa yamelala usingizi wao waliamka na kuwekeza kwa kiasi kikubwa kwenye elimu. Hivyo nafasi mbali mbali wanazoshikilia siyo kwa upendeleo wala bahati mbaya na wataendelea kuwa mbele sana isipokuwa kwenye zile nafasi zinazotolewa kwa uteuzi wa Rais au hisani za kisiasa kama wakuu wa wilaya, mikoa, mabalozi, wakuu wa taasisi wakirugenzi n.k