Anna Nkya
Member
- Oct 21, 2021
- 69
- 341
Kwenye kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2020, CHADEMA walikuwa wakilalama kwamba nchi yetu inajali maendeleo ya vitu kuliko maendeleo ya watu.
Wakawa wanaishambulia miradi kama ule wa Rufiji, SGR, Fly Overs na mingine.
CCM kama chama tawala wakatetea miradi hiyo na kusema hivyo vitu ni kwa ajili ya watu.
Kwa kuangalia waliyokuwa wanadai sana CHADEMA, naona sasa yanatekelezwa. Rais Samia analeta maendeleo ya watu na vitu kwa wakati mmoja.
Vituo vya afaya vilivyojengwa vikaitwa maendeleo ya vitu (Kwa maana ya Majengo0, sasa vinawekewa dawa. Rais Samia kanunu magari ya kisasa ya wagonjwa, zaidi ya 375 na hayo magari yatahudumia watu kwa viwango stahiki.
Muswada wa Bima ya afya kwa wote utakuwa tayari soon : sio maendeleo ya watu?
Rais Samia ametilia mkazo sana kumaliza kero ya maji (Anasema anamtua Mama ndoo kichwani), haya sio maendeleo ya watu?
Watumishi wapanda madaraja, ndani ya kipindi kifupi ametoa vibali vingi vya ajira.
Mko wapi mbona siwaoni mkisifia maendeleo ya watu?
Wakawa wanaishambulia miradi kama ule wa Rufiji, SGR, Fly Overs na mingine.
CCM kama chama tawala wakatetea miradi hiyo na kusema hivyo vitu ni kwa ajili ya watu.
Kwa kuangalia waliyokuwa wanadai sana CHADEMA, naona sasa yanatekelezwa. Rais Samia analeta maendeleo ya watu na vitu kwa wakati mmoja.
Vituo vya afaya vilivyojengwa vikaitwa maendeleo ya vitu (Kwa maana ya Majengo0, sasa vinawekewa dawa. Rais Samia kanunu magari ya kisasa ya wagonjwa, zaidi ya 375 na hayo magari yatahudumia watu kwa viwango stahiki.
Muswada wa Bima ya afya kwa wote utakuwa tayari soon : sio maendeleo ya watu?
Rais Samia ametilia mkazo sana kumaliza kero ya maji (Anasema anamtua Mama ndoo kichwani), haya sio maendeleo ya watu?
Watumishi wapanda madaraja, ndani ya kipindi kifupi ametoa vibali vingi vya ajira.
Mko wapi mbona siwaoni mkisifia maendeleo ya watu?