karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,800
- 3,261
Katika siku ambayo Dauda ameongea maneno ya hekima na busara basi ni jana YANGA kuna haja kubwa ya kujifunga kutoka kwa watani zenu
"Kuna wakati wengine wakae na Viongozi wa Simba mnajadiliana tu kuwa imewezekana vipi kuwa na mwendelezo kwa misimu mitano, ipi siri! Nanyi mnajifunza
Real Madrid na Barcelona wamesaini mkataba wao wa kutoingiliana sehemu baadhi za usajili
Mkishindwa kushindana, MUUNGANE
Shaffih Dauda
"Kuna wakati wengine wakae na Viongozi wa Simba mnajadiliana tu kuwa imewezekana vipi kuwa na mwendelezo kwa misimu mitano, ipi siri! Nanyi mnajifunza
Real Madrid na Barcelona wamesaini mkataba wao wa kutoingiliana sehemu baadhi za usajili
Mkishindwa kushindana, MUUNGANE
Shaffih Dauda