Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Mindset... Matumizi sahihi ya taasisi za kifedha.. Nknk

Jr
emoji769.png
Mbona huyasemi aliyoyafanya CDM kule Mwanga akiwa waziri wa fedha na waziri mkuu enzi za Mwalimu JK
Natambua wingi wa matukio na harakati za maisha vinatufanya kuangalia mapya bila kutafakari yaliyopita.

Wiki hii kulikuwa na mjadala mwingine baada ya kuzinduliwa Mahakama ya wilaya CHATO ikitajwa kama mahaka kubwa na nzuri kulinganisha na Mahakama nyingine za mwanzo TANZANIA

Tangu awamu hii ishike hatamu mambo mengi ya kimaendelea yamefanyika CHATO... Kwa kutaja chache tu

Traffic lights
Jengo kubwa la Bank ya CRDB
Jengo la mamlaka ya mapato TRA
Mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege
Uwanja wa mpira
Msikiti mkubwa nknk
Malalamiko yamekuwa mengi kuwa kuna upendeleo unafanywa kuipa CHATO maendeleo isiyostahili
Ni lazima tukumbuke kanuni hii muhimu ya BINADAMU kwamba MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE... Ni baba wa Taifa pekee hayati Mwalimu J. K. Nyerere ambaye alienda tofauti na kauli hii na kidogo akafuatiwa na Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa

Alipoingia madarakani brother Jakaya mambo yakawa tofauti... Akaamua kutumia nafasi yake kuwasaidia watu wa kwake.. Aamejitahidi kadiri alivyoweza kuiamsha Pwani.. Miradi mingi ikipelekwa huko ama Pwani ikipewa kipaumbele... Ombwe halikuonekana sana kwakuwa pia Pwani ni eneo MKAKATI kwa ajili ya kuingia na kutoka Dar.

Hata hivi viwanda vya leo Pwani zilikuwa ni juhudi zake.. Lakini kuna mengine yakawa ni kama hayakuwa na ullazima wa kuyafanya... Leo hii kuna njia mbili za lami mpaka mlangoni kwake pale Msoga... Lakini kuna Msikiti mkubwa mzuri ulijenga pale Msoga barabarani siku hizi umezungukwa na nyasi. Hauhudumiwi tena

Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake

Watu wa kaskazini wako vizuri juu na chini pia na wnapenda sana kutumia vizuri fursa zilizopo, ni wabunifu na ni wachapakazi.. Hawana majungu na wanathamini kila kitu kizuri.. Wanapenda UMOJA na kushirikishana... Wanajua vizuri thamani ya elimu ardhi na rasilimali watu....

Maendeleo yaliyojaribu kupelekwa CHATO na PWANI yangepelekwa kaskazini... kisinheharibika hata kitu kimoja na kingetumiwa kwa weledi mkubwa na kuleta matokeo chanya zaidi... Lakini la zaidi huko kote wanaosimania na kujaribu kuleta matokeo hayo chanya bado ni wale wale wa kaskazini!

Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.

Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...

Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtoto aliyekulia nyumba ya nyasi na aliyekulia nyumba ya bati na sakafu...

Nimemaliza...!!!!

Jr
Yaseme pia yale aliyoyafanya CDM (akiwa waziri wa fedha na waziri mkuu) huko kwenu wilayani Mwanga Kilimanjaro, kwenye awamu ya kwanza ya Mwalimu JK. Ninyi wapare wa Ugweno na Usangi na maeneo mengi ya huko milimani mlikataa hata kuitwa wapare; mkasema ninyi ni wagweno ili kujitofautisha na wapare wenzenu wa Same ambao enzi hizo mliwaona wenzenu ni choka mbaya!!
Mlipata upendeleo wa kuboresha maisha yenu kwa raslimali nyingi za nchi, mkapelekewa miundombinu muhimu kama umeme na barabara. CDM hakujali kwamba eneo lenu la Mwanga halina mchango wa maana kwenye kukuza uchumi wa taifa; mpaka leo!! Nyani haoni kundule!!
 
Muwe mnasoma kitu na kukielewa... Kwahiyo unataka kunipangia cha kuandika? Muktadha wa mada yangu ulikuwa huo kama unaona nimekuwa biased unakuja na reply yako ama mada kamili
Mbona huyasemi aliyoyafanya CDM kule Mwanga akiwa waziri wa fedha na waziri mkuu enzi za Mwalimu JK

Yaseme pia yale aliyoyafanya CDM (akiwa waziri wa fedha na waziri mkuu) huko kwenu wilayani Mwanga Kilimanjaro, kwenye awamu ya kwanza ya Mwalimu JK. Ninyi wapare wa Ugweno na Usangi na maeneo mengi ya huko milimani mlikataa hata kuitwa wapare; mkasema ninyi ni wagweno ili kujitofautisha na wapare wenzenu wa Same ambao enzi hizo mliwaona wenzenu ni choka mbaya!!
Mlipata upendeleo wa kuboresha maisha yenu kwa raslimali nyingi za nchi, mkapelekewa miundombinu muhimu kama umeme na barabara. CDM hakujali kwamba eneo lenu la Mwanga halina mchango wa maana kwenye kukuza uchumi wa taifa; mpaka leo!! Nyani haoni kundule!!

Jr
 
Brother labda tu ni kwambie huwezi linganisha alichofanya kikwete msoga na yanayoendelea huko chato ahaaaaaa bro chato imefukia kwa saaana aisee, tena inafanyika bila woga wowote yaaani kiubabe ubabe maana hakuna wa kumtisha.

msoga is nothing compare to chato aisee
Natambua wingi wa matukio na harakati za maisha vinatufanya kuangalia mapya bila kutafakari yaliyopita.

Wiki hii kulikuwa na mjadala mwingine baada ya kuzinduliwa Mahakama ya wilaya CHATO ikitajwa kama mahaka kubwa na nzuri kulinganisha na Mahakama nyingine za mwanzo TANZANIA

Tangu awamu hii ishike hatamu mambo mengi ya kimaendelea yamefanyika CHATO... Kwa kutaja chache tu

Traffic lights
Jengo kubwa la Bank ya CRDB
Jengo la mamlaka ya mapato TRA
Mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege
Uwanja wa mpira
Msikiti mkubwa nknk
Malalamiko yamekuwa mengi kuwa kuna upendeleo unafanywa kuipa CHATO maendeleo isiyostahili
Ni lazima tukumbuke kanuni hii muhimu ya BINADAMU kwamba MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE... Ni baba wa Taifa pekee hayati Mwalimu J. K. Nyerere ambaye alienda tofauti na kauli hii na kidogo akafuatiwa na Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa

Alipoingia madarakani brother Jakaya mambo yakawa tofauti... Akaamua kutumia nafasi yake kuwasaidia watu wa kwake.. Aamejitahidi kadiri alivyoweza kuiamsha Pwani.. Miradi mingi ikipelekwa huko ama Pwani ikipewa kipaumbele... Ombwe halikuonekana sana kwakuwa pia Pwani ni eneo MKAKATI kwa ajili ya kuingia na kutoka Dar.

Hata hivi viwanda vya leo Pwani zilikuwa ni juhudi zake.. Lakini kuna mengine yakawa ni kama hayakuwa na ullazima wa kuyafanya... Leo hii kuna njia mbili za lami mpaka mlangoni kwake pale Msoga... Lakini kuna Msikiti mkubwa mzuri ulijenga pale Msoga barabarani siku hizi umezungukwa na nyasi. Hauhudumiwi tena

Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake

Watu wa kaskazini wako vizuri juu na chini pia na wnapenda sana kutumia vizuri fursa zilizopo, ni wabunifu na ni wachapakazi.. Hawana majungu na wanathamini kila kitu kizuri.. Wanapenda UMOJA na kushirikishana... Wanajua vizuri thamani ya elimu ardhi na rasilimali watu....

Maendeleo yaliyojaribu kupelekwa CHATO na PWANI yangepelekwa kaskazini... kisinheharibika hata kitu kimoja na kingetumiwa kwa weledi mkubwa na kuleta matokeo chanya zaidi... Lakini la zaidi huko kote wanaosimania na kujaribu kuleta matokeo hayo chanya bado ni wale wale wa kaskazini!

Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.

Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...

Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtoto aliyekulia nyumba ya nyasi na aliyekulia nyumba ya bati na sakafu...

Nimemaliza...!!!!

Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother labda tu ni kwambie huwezi linganisha alichofanya kikwete msoga na yanayoendelea huko chato ahaaaaaa bro chato imefukia kwa saaana aisee, tena inafanyika bila woga wowote yaaani kiubabe ubabe maana hakuna wa kumtisha.

msoga is nothing compare to chato aisee

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Uzi huu ni mzuri sana tu, ila kwa maoni yangu umeharibu kwenye paragraph ya 9 na ya 11.

Paragraph ya tisa kimantiki, inamaanisha maendeleo kama hayo yanatakiwa kupelekwa kaskazini tu. Kwa sababu yangepelekwa kaskazini yangeleta tija zaidi. Hii ni disrespect kwa watu wa Chato.

Paragraph ya 11. Inaonyesha kwamba wakaskazini ndio watakaokomboa kila kinachofanywa Chato.

Generally, umeonyesha Wakaskazini ni better kuliko wachato. Umewadharau na kuwadharirisha sana. Kiuungwana tu ungewaomba radhi.

Kama jiwe anapendelea Chato mchukie yeye sio wao wote. Hakuna mchato aliyemtuma apendelee kwao.

Ni maoni yangu tu.peace

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Uzi huu ni mzuri sana tu, ila kwa maoni yangu umeharibu kwenye paragraph ya 9 na ya 11.

Paragraph ya tisa kimantiki, inamaanisha maendeleo kama hayo yanatakiwa kupelekwa kaskazini tu. Kwa sababu yangepelekwa kaskazini yangeleta tija zaidi. Hii ni disrespect kwa watu wa Chato.

Paragraph ya 11. Inaonyesha kwamba wakaskazini ndio watakaokomboa kila kinachofanywa Chato.

Generally, umeonyesha Wakaskazini ni better kuliko wachato. Umewadharau na kuwadharirisha sana. Kiuungwana tu ungewaomba radhi.

Kama jiwe anapendelea Chato mchukie yeye sio wao wote. Hakuna mchato aliyemtuma apendelee kwao.

Ni maoni yangu tu.peace

Sent using Jamii Forums mobile app
Peace and love
tapatalk_1579694810287.jpeg


Jr
 
Back
Top Bottom