Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Dah, haya mkuu yetu macho uliyosema yana ukweli wake. Jengo la mahakama wilaya ya Chato ni hatari kuliko mikoa mingi niyotembelea na hakika muendelezo wa hayo yote itakuwa ni changamoto kwani rasilimali watu haijaendelezwa kabisa
Yeye kasema mahakama ya mwanzo. Naona anaandika kwa mzuka na hisia kali. Kitu ambacho si kizuri kwa calibre ya mtu kama Mshana.
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji144][emoji144][emoji144]
Kaskazini haijengwi na serikali ya mbogamboga bali na wana wa kaskazini. Wengine subirini offer za Meko

Jr[emoji769]
 
Naomba unirekebishe Rwebo kama nimekosea tafadhali
Yeye kasema mahakama ya mwanzo. Naona anaandika kwa mzuka na hisia kali. Kitu ambacho si kizuri kwa calibre ya mtu kama Mshana.

Jr[emoji769]
 
Vyote kwa pamoja vinahitajika i mean uwezeshwaji wa rasilimali watu na vitu ili kufanikisha maendeleo ya jamii husika.

Ila swali la msingi ni je, kipi kianze kati ya uwezeshwaji wa rasilimali watu au vitu..?
 
Viende sawia na bila agenda ya siri... Maslahi ya wengi yawe ndio kipaumbele bila kuwa na agenda za kisiasa na kujijenga binafsi
Vyote kwa pamoja vinahitajika i mean uwezeshwaji wa rasilimali watu na vitu ili kufanikisha maendeleo ya jamii husika.

Ila swali la msingi ni je, kipi kianze kati ya uwezeshwaji wa rasilimali watu au vitu..?

Jr[emoji769]
 
Naomba unirekebishe Rwebo kama nimekosea tafadhali

Jr[emoji769]
Hujakosea sana, mahakama inayozungumziwa ni ya wilaya, lakini wewe ukasema ni ya mwanzo kitu ambacho kinaweza amsha hasira za wananchi. Other wise uko vizuri Mshana Jr. Bravo!!
 
Nimekuelewa Sana mkuu hongera
Kwa kawaida ya kabira yetu ulitakiwa kusifiwa kwa tusi au salazo ila tuuachane na hayo,
Kuhusu vingine vilivyojengwa harafu havina muendelezo si kweli kuota nyasi msiti wa msoga inatokana na kijji kilivyo kwa msoga ilivyo Kama kule kilipo Kijiji kukawa kumejengwa msikiti mwengine Basi hapana budi ule msikiti wa barabarani kuota nyasi
Nilichojifunza kwa
Watu wa kaskazin kikubwa ubinfs (ukabila) migogoro ya mipaka aridhi mkiwa na mtu wa kutoka kaskazin kjijin kwenu maendeleo anataka yawe kwake tu mi nilishaamishiwa nguzo ya umeme kisa kaenda kulipa yeye hapo ilipowekwa nguzo na tanesko wote tungepata umeme mini na yeye lakini yeye akawambia iwekwe kwenye kiwanja chake sio hapo barabarani
nakubali kuwa aridhi iliuzwa na inauzwaa Bei Chee kweli lakini utakuta kaya moja yenye familia ya watu 10 Wana pori la heka 100 Kila wanalima heka 12 au 15 Kuna heka nyingi zinabaki hazifanyiwi kazi hujauza Bei Chee unangoja Nini,matapeli wakuuzie
Pwani kikwete kaacha alama kapandisha aridhi thamani na maendeleo yanayoendelea


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji120][emoji120][emoji120]asante kwa masahihisho nitarekebisha...!!!
Hujakosea sana, mahakama inayozungumziwa ni ya wilaya, lakini wewe ukasema ni ya mwanzo kitu ambacho kinaweza amsha hasira za wananchi. Other wise uko vizuri Mshana Jr. Bravo!!

Jr[emoji769]
 
Hujawa muwazi mkuu ni nini hasa kifanyike kuiinua chato
Waache watu wa Chato wajiletee maendeleo yao wenyewe kwa juhudi zao wakijua wanafanya nini na nini gharama ya maendeleo kuliko kuletewa maendeleo wasiyojua yanatoka wapi. Wazaramo ni watu wa asili ya Dar es Salaam. Hawa wangepaswa kuwa ndio watu walioendelea zaidi ya wengine wote Tz. Lakini kwasababu waliletewa kila kitu mlangoni hawakufanya chochote cha kujiendeleza, wakabaki wakifikiri kwamba maendeleo ni kitu cha kuletewa na wengine kama zawadi. Angalia leo hii wazaramo miaka 200 baada ya kuishi na waarabu, wajerumani, waingereza, wahindi na wapare, wachagga, n.k. bado ni primitive na wanazidi kuuza ardhi na kusogea mbali na jiji huko Mkuranga na kwingineko.
 
Tutachukua Maasai kutoka Ngorongoro kuwahamishia burigi
Hakuna lisilowezekana katika Awamu hii
Angalia eti unajengwa uwanja wa ndege wa kimataifa porini, halafu kwasababu watu wanahoji ujenzi huu, basi serikali ndio inageuza mapori ya akiba yaliyo karibu na uwanja kuwa national parks ili kuhalalisha ujenzi wa uwanja wa ndege. Ndivyo waafrika tunavyofanya ndio maana hatuendelei.

Uwanja wa ndege wa kimataifa aliojenga Mobutu kijijini kwake sasa ni pango la popo na panya. Uwanja huu zilikuwa zinatua hata ndege aina ya Concorde. Lakini sasa angalia uwanja ulivyo hapa.
 
Eti wa kaskazini maono yao makubwa blah blahh blahh

Kwahio kanda zingine vilaza?.nchi hii imefika hapa kwa sababu yenu tu?

mnasahau hii iko hivyo kwa sababu ya kihistoria ya umishenari na ukoloni?.
Kama hamuamini watch and see ....everyone is educated this days na kila mtu ni mfanya biashara siku hizi

Sikutegemea kuona mindset kama hii kutoka kwako...ohh na we ni wa Kaskazini i forgot
But niwakumbushe ukabila hauna nafasi tena nchini kwa sasa..
 
.
Your browser is not able to display this video.


Jr[emoji769]
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Jr[emoji769]
 
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]LadyRed kuna mahali nimezungumzia makabila na ukabila? Ninaposema kaskazini unapata tafsiri gani?
Je si kweli kwamba pamoja na Pwani kubebwa vilivyo lakini wenyeji wake wameshindwa kabisa kujitambua..?
LadyRed rafiki toka kwenye hilo box la fikra finyu uione hii post katika mtazamo mpana zaidi utanielewa
Jr[emoji769]
 
Wewe ni mtu mzima, acha ushamba na mawazo ya kitoto.
Umeshajiuliza mada hii ya kijinga ikiyo na upumbavu na ubaguzi itasaidia nini vijana?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…