Monchengladbach
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 703
- 514
Naona unatokwa povuHakuna kitu cha kushangaza kask, sijui viwanda wala nn watu maskin kama kwingine mlichobarikiwa wachaga ni roho ya kujikweza na misifa, tumeishi huko wilaya 3 za klm, gongo kama kawa, umaskin uleule kama wa maeneo mengi ya bongo kwa kifala tu, over
Eti Nini?Hzo gorofa hata kwingine kwingi zipo acha ushamba, wadanganye ambao hawakujui. Tembea mikoa mingi uone mbona viwanda hakuna zaidi ya gongo? Tujumba huto umeona ndo klm tu au huajasoma shule mjomba? Kanda ya ziwa ni shida unajifanya hujui
Nauliza kuna sehemu yoyote tz wananchi Wana uwezo wa kuchangia bilion 7 kukarabati barabara Kama walivyofanya wananchi wa vunjo?Hzo gorofa hata kwingine kwingi zipo acha ushamba, wadanganye ambao hawakujui. Tembea mikoa mingi uone mbona viwanda hakuna zaidi ya gongo? Tujumba huto umeona ndo klm tu au huajasoma shule mjomba? Kanda ya ziwa ni shida unajifanya hujui
Nauliza kuna sehemu yoyote tz wananchi Wana uwezo wa kuchangia bilion 7 kukarabati barabara Kama walivyofanya wananchi wa vunjo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo huo haupatikani popote zaidi ya kilimanjaro ndio ujue kilimanjaro watu wake Wana spirit ya maendeleo
Nilikutegemea uorodheshe vitu alivyofanya kwao Mkwere kama ulivyofanya kwa huyu mkosa kabila mara Msukuma, mara Msubi, mara mhutuNatambua wingi wa matukio na harakati za maisha vinatufanya kuangalia mapya bila kutafakari yaliyopita..
Wiki hii kulikuwa na mjadala mwingine baada ya kuzinduliwa Mahakama ya wilaya CHATO ikitajwa kama mahaka kubwa na nzuri kulinganisha na Mahakama nyingine za mwanzo TANZANIA
Tangu awamu hii ishike hatamu mambo mengi ya kimaendelea yamefanyika CHATO... Kwa kutaja chache tu
Traffic lights
Jengo kubwa la Bank ya CRDB
Jengo la mamlaka ya mapato TRA
Mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege
Uwanja wa mpira
Msikiti mkubwa nknk
Malalamiko yamekuwa mengi kuwa kuna upendeleo unafanywa kuipa CHATO maendeleo isiyostahili
Ni lazima tukumbuke kanuni hii muhimu ya BINADAMU kwamba MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE... Ni baba wa Taifa pekee hayati Mwalimu J. K. Nyerere ambaye alienda tofauti na kauli hii na kidogo akafuatiwa na Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa
Alipoingia madarakani brother Jakaya mambo yakawa tofauti... Akaamua kutumia nafasi yake kuwasaidia watu wa kwake.. Aamejitahidi kadiri alivyoweza kuiamsha Pwani.. Miradi mingi ikipelekwa huko ama Pwani ikipewa kipaumbele... Ombwe halikuonekana sana kwakuwa pia Pwani ni eneo MKAKATI kwa ajili ya kuingia na kutoka Dar.
Hata hivi viwanda vya leo Pwani zilikuwa ni juhudi zake.. Lakini kuna mengine yakawa ni kama hayakuwa na ullazima wa kuyafanya... Leo hii kuna njia mbili za lami mpaka mlangoni kwake pale Msoga... Lakini kuna Msikiti mkubwa mzuri ulijenga pale Msoga barabarani siku hizi umezungukwa na nyasi. Hauhudumiwi tena
Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake
Watu wa kaskazini wako vizuri juu na chini pia na wnapenda sana kutumia vizuri fursa zilizopo, ni wabunifu na ni wachapakazi.. Hawana majungu na wanathamini kila kitu kizuri.. Wanapenda UMOJA na kushirikishana... Wanajua vizuri thamani ya elimu ardhi na rasilimali watu....
Maendeleo yaliyojaribu kupelekwa CHATO na PWANI yangepelekwa kaskazini... kisinheharibika hata kitu kimoja na kingetumiwa kwa weledi mkubwa na kuleta matokeo chanya zaidi... Lakini la zaidi huko kote wanaosimania na kujaribu kuleta matokeo hayo chanya bado ni wale wale wa kaskazini!
Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.
Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtoto aliyekulia nyumba ya nyasi na aliyekulia nyumba ya bati na sakafu...
Nimemaliza...!!!!
Jr[emoji769]
Jengo la mahakama ya Wilaya Chato
Mhe.Rais mimi najua wewe sio mbunge wa Chato bali ni Rais wa nchi. Maana yangu ni kwamba linapofika suala la maendeleo simamia bila kupendelea. Ukiangalia jengo hili jipya la Mahakama ya Wilaya ya Chato hivi ni wilaya gani nyingine yenye jengo la mahakama ya kisasa kama hili? Kama ni kwa nia...www.jamiiforums.com
Kutaka kufanana na Tanga, moshi na arusha?
Unaamanisha hiyo mikoa ni bora sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, haya mkuu yetu macho uliyosema yana ukweli wake. Jengo la mahakama wilaya ya Chato ni hatari kuliko mikoa mingi niyotembelea na hakika muendelezo wa hayo yote itakuwa ni changamoto kwani rasilimali watu haijaendelezwa kabisa
Kikwete mnamuonea tu. Mimi ni mkazi wa chalinze lkn sijaona kikubwa alichojifanyia pale jimboni kwake zaidi ya kuweka zile chalinze bypass (msata-bagamoyo; Msoga-Msolwa)- kwa kiwango cha lami ambazo kimsingi zimesaidia kupunguza msongamano wa magari pale chalinze. Ameshindwa hata kuwajengea watu wake wa mji wa chalinze Hospitali ya maana, hadi leo kipo kizahanati. Maji waliweka mradi mdogo ambao mara kibao maji yanasumbua. Mzee Kikwete hakulipigania jimbo lake hakika
Sent using Jamii Forums mobile app
Shinyanga iliuwawa pale mkapa alipoamua kuwapa migodi mabeberu,wasukuma wakageuka kuwa vibarua badala ya wamiliki.Shinyanga ilikuwa inaghala la chakula nmc sidhani kama kuna mkia ulikuwa ukifikia,hali ya hewa imebafirika mvua hazinyeshi, ng'ombe wamepungua,wasukuma wamehamia mikoa mingine kutafuta nyasi.Pamba kushuka being nk.Kahama bado kuna mvua,lango la Rwanda,inapokea vyakula kutoka kagera na kigoma, madini ni mengi.Msukuma ana hela sana, lakini ni mtu wa kuridhika mapema!. Booster la Chato litafanya kazi hata Meko akiondoka lakini litaishia kuiinua Chato pekee!.
Ukiiangalia Mwanza imeendelea lakini hao hao wasukuma ndio wapo Shinyanga, angalia Kahama inaendelea lakini kwanini sio Shinyanga nzima?).
Tunapiga kazi lakini tunaridhika mapema!.
tunaamini ushindani ni kuvunja undugu
Kati ya kitu kikubwa alichofanya kikwete ni kujenga shile za kata,kujenga vyuo vikuu na kujenga mabarabara ila ufisadi ulitamalaki.Lazima kubalance story
Jr[emoji769]
a zaidi pwani kuliko chato na sehemu singing vilify at is Dom.Nilikutegemea uorodheshe vitu alivyofanya kwao Mkwere kama ulivyofanya kwa huyu mkosa kabila mara Msukuma, mara Msubi, mara mhutu