Mkinga: Barrick walikodi kampuni kutoka SA kuibua makontena ya mchanga

Assuming kila container India a madini ya thamani ya 1.4 trilioni . Na Tanzania kwa mujibu Wa mikataba Wa mdini tuna mrahaba Wa 4% ina maana pesa yetu ni kidogo( bilioni 56) na wazungu wanabaki na matrilioni 1.35 . nadhani mikataba ndiyo msiba kwa taifa. Hats hivi kukamat makanikia ni hatua moja katika safari Ndefu. Ila safari Ndefu kwa sisi ambao tumezoea kupenda quick results kW kila kitu tutahimili mawimbi ya hawa jamaa tukiwa kitu kimoja nyuma ya mheshimiwa rais. ? Dhamira njema anayo kila JAMII yetu Haijazoea hustles za sanctions zinazotukabili mbele ya safari.
 
Ni kweli, contena ilionesha ina thamani ya sh milion 40 na baada bandari kushindwa kuopoa walikubali kuilipa Barrick thamani ya mchanga ambazo ni Tshs 40 ml, Barrick wakataa wakakodi mitambo wakalipa karibia Tshs bilion 4.5 kuopoa contena yenye thamani ya Tshs 40ml.
Halafu serikali ikaona ni sawa hilo kontena lilikuwa na thamani ya 40ml na likaachwa liendelee na safari.
mkuu...Lissu yupo sahihi kabisa kwa 100%. opinion yake imetokana na a well informed briefing kutoka kwa watu wanaoyajua haya mambo in depth and breadth.

Binafsi mchakato pamoja na ufundi wa kupima viwango vya madini ndani ya mchanga navijua kwa undani sana.

Tunaojua tunashindwa kuelewa ile kamati hata sijui ilipata wapi/vipi yale majibu yake na sijui kama walikuwa anticipative kwenye implications za walichokuwa wanakifanya.

Msomi yeyote anayejitambua huwa anajiongeza - ile kamati hata haikujiongeza. kwa nini - wanajua wao wenyewe!
Ni wazi kabisa msomi wetu huyu wa mawe na michanga atakubishia pia
 
Wanajua yana hela ndefu ndio sababu lkn mwanasheria msomi Lissu ambaye hajui hata symbol ya copper kuwa ni Cu anasema ripoti ni rubbish
nyinyi mnaojua iyo symbol ya copper CU mbona mmeshindwa kutengeneza hata toothpick pekee yake?

So sad
 
unaweza kuwa upo sahihi mkuu.
lakini tatizo ni kuwa unapofanya uchunguzi wa jinsi ile lazima kitu kinachoitwa "chain of custody" kizingatiwe.
kwenye arbitration hii kitu inazingatiwa sana.

hii ina maana moja tu - ufunguaji wa lile container na kulifunga tena kulitakiwa kuhusishe pande zote muhimu zifuatazo....

serekali & maajenti wake kwa upande mmoja;
Acacia & maajenti wake kwa upande wa pili;
na chombo huru (kilichokubaliwa na pande zote 2) kwa upande wa tatu.


Mkuu;
Ni vyema ungeacha hizo porojo za Arbitration.
Ushahidi upo wa kutosha kwamba tunaibiwa.
Hivi hiyo tume ya Prof. Mruma ifanye forgery ili iweje.
Kuwa mzalendo kwa maslahi ya vizazi vyetu.
 
Mkuu;
Ni vyema ungeacha hizo porojo za Arbitration.
Ushahidi upo wa kutosha kwamba tunaibiwa.
Hivi hiyo tume ya Prof. Mruma ifanye forgery ili iweje.
Kuwa mzalendo kwa maslahi ya vizazi vyetu.
mkuu, usiwe that naïve kutotambua kuwa hizi ni siasa tu... hakuna uzalendo hapo.
mtu angekuwa mzalendo wa kweli angekuwa ameungana na wazalendo wa kweli kupiga kelele kuhusu huu wizi tangu zamani kabla ya kuwa rais. vipi asingekuwa rais....huo mnaouita uzalendo wake mngeuonea wapi?
msiruhusu akili zenu ziwe "possessed" na wanasiasa kiasi hicho!

as for wasomi like Mruma, it's a scratch my back and i will scratch yours "doctrine".
so I rest my case....
 
Watu wengi hawajamuelewa Lisu, siku zote tumekua tukijisaidia vichakani kwasasa tumekiona choo kipo wapi, anachokipigania Lisu ni kwamba tuendapo huko chooni tusiende peku twaweza pata magonjwa.

The problem is with ' a big education with a little mind'.
 
mkuu, usiwe that naïve kutotambua kuwa hizi ni siasa tu... hakuna uzalendo hapo.
mtu angekuwa mzalendo wa kweli angekuwa ameungana na wazalendo wa kweli kupiga kelele kuhusu huu wizi tangu zamani kabla ya kuwa rais. vipi asingekuwa rais....huo mnaouita uzalendo wake mngeuonea wapi?
msiruhusu akili zenu ziwe "possessed" na wanasiasa kiasi hicho!

as for wasomi like Mruma, it's a scratch my back and i will scratch yours "doctrine".
so I rest my case....


M-mbabe:
Noted with concern.
ohh!!! katika ubora wako.
 
mkuu, usiwe that naïve kutotambua kuwa hizi ni siasa tu... hakuna uzalendo hapo.
mtu angekuwa mzalendo wa kweli angekuwa ameungana na wazalendo wa kweli kupiga kelele kuhusu huu wizi tangu zamani kabla ya kuwa rais. vipi asingekuwa rais....huo mnaouita uzalendo wake mngeuonea wapi?
msiruhusu akili zenu ziwe "possessed" na wanasiasa kiasi hicho!

as for wasomi like Mruma, it's a scratch my back and i will scratch yours "doctrine".
so I rest my case....
Uzalendo ni mpaka uwe mbele ya TV na kufuka povu!!?
 
Uzalendo ni mpaka uwe mbele ya TV na kufuka povu!!?
hapana mkuu. uzalendo upo pia katika kutaifisha samaki kwa mihemuko, kununua vivuko feki, kugawa ovyo nyumba za serekali....na mengine nakuachia ujaze mwenyewe!
 
hapana mkuu. uzalendo upo pia katika kutaifisha samaki kwa mihemuko, kununua vivuko feki, kugawa ovyo nyumba za serekali....na mengine nakuachia ujaze mwenyewe!
SAKATA LA SAMAKI:je hakimu sio fisadi?waendesha mashtaka sio mafisadi?

SAKATA LA KIVUKO:Una ropoti ya kitaalamu kwamba kivuko ni feki?

SAKATA LA NYUMBA:
Mbona hamumuulizi Sumaye?
 
Kama taifa tunatia aibu kwa huu ujinga wa mchanga.

Ngoja nikufundishe kuwa haya mashirika ya NySE na LSE, wanakuwa judged kwa viwango vya juu sana katkka utunzaji mazingira. Kama kweli waliangusha vkntainer bandarini, ni lazima wangeingia gharama zozote kuyaondoa haraka iwezekanavyo ili waepuke kashfa ya kuchafua mazingira. Wasingefanya hivyo, bei za hisa zao zingeporomoka kwa kiasi kikubwa kuliko hicho ki dolla millioni moja.
Hizi kamba muwe mnawapiga vilaza tu
 
NAKUMBUKA ZILITUMBUKIA KONTENA MBILI HAIKUPITA MUDA MH. MKAPA ALIKUJA TANGA TETESI ZELIENEA MJI MZIMA KUWA NDANI KUNA ALMASI HII ISHU YA KUZAMA KONTENA ILIKUWA NI KWELI KABISA
 
Back
Top Bottom