ccm ipi mojawapo? Ukiweza kujijibu kesho nahamia utopolo fc nikawe matagaMshana Jr haaa wapi,umechemsha vibaya sana.
CCM ipo imara na mpaka sasa mipango nusu ishakamilika ya kushinda chaguzi zote zinazokuja hadi uchaguzi wa 2025.
CCM haijawai kuparaganyika kama unavyotamani na haitokuja kuwa.
Wewe huijui CCM wewe.
Utasubiri sana hapo stendi ya daladala mtaa wa Ufipa.
Well said!!!Hao vijana watapambana na sisi raia. Mama asiwe na presha nao. Sisi ndio tutakua ngao yake Mama yetu kipenzi, yeye apige kazi tu.
Mama yetu ambaye toka ameshika madaraka hata hajamaliza mwezi mmoja ila raia tuna amani tele moyoni (Hajagawa hela barabarani, hajaongeza mishahara wala hajaajiri waalimu bado). Ila roho zetu zimepata utulivu na mapumziko.
Tutapambana nao kama tulivyo pambana na Marehemu Mzee Wao, mpaka akapata stroke. Ikibidi hata kuwakeketa bila ganzi tutawakeketa tu.
Hii nchi ilikua imeshaangamia, ilifika hatua kiongozi wa serikali anageuza kanisa kuwa sehemu ya kwenda kuwachamba waongoza ibada mbele ya waumini wao. Mpaka unajiuliza huyu amekwenda kufanya ibada au amekwenda kuwashushua Ma Askofu au kwenda kusambaza propaganda???
Mmmh.. nakuonea huruma.We unadhani waungaji mkono wa Mh. SSH ni wa kisiwani?!!!
Kwa taarifa yako ni umma woote wa Watanzania ukiondoa baadhi ya MATAGA waovu tu
Kumbe nawe pia ni mmoja wao!Uhuru wa kutoa maoni ni haki sioni kama wamekiuka hilo
CCM kweli ni ile ile, ila mshika usukani kaamua kuongoza kwa dira ya haki na maendeleo ambayo CCM hamkuizoweya.Usijidanganye CCM ni hile hile tu ,na bado wamoja usijidanganye kwamba kuna makundi ndani ya chama.
Muulize Lissu aliingia Geita saa ngapi? Chato walimpa maji ya kunywa. Wakabarizi. Wakakumbushana enzi za kutetea wachimba madini wadogo. Ilikuwa furaha. Hawakusahau kumweleza shida walizokuwa nazo tena za kuletwa na awamu pendwa ya tano. Wakati wanaagana wakamuuma sikio: Hilo linghosha wanalichagua wasiolijua. Tunalijua gete gete hatulichagui. Tutakuchagua wewe hatukujui! Hata uwe mbaya vipi huwezi kumfikia huyu.Atakwenda kama kawaida tena mchana kweupe, hutaki usimpe kura yako maana hiyo ndiyo demokrasia.