Mkifika mjini mkumbuke mlikotoka

Mkifika mjini mkumbuke mlikotoka

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,350
1640500319794.png
 
Wenyewe wanasema ukijaribu kujenga kijijini nyumba ya matofali na bati eti wanakuroga!😀

Wanataka kijiji kizima kiwe na nyumba uniform. Tena unaeza kuta wazazi ndio wanakuzuia kujenga wakihofia kukupoteza mtoto wao
Sasa haya anayopitia hapo kwenye picha si mateso tena na kitambi chake cha bia kitimoto.
 
Bibi yetu tumejuchanga wajukuu tumemjengea nyumba ya bati
Kahama kahamia nyumba ya Nyasi kwa mdogo wake anasema bati linampgia kelele mvua inaponyesha😅😅😅😅
 
Wenyewe wanasema ukijaribu kujenga kijijini nyumba ya matofali na bati eti wanakuroga!

Wanataka kijiji kizima kiwe na nyumba uniform. Tena unaeza kuta wazazi ndio wanakuzuia kujenga wakihofia kukupoteza mtoto wao

Siku hizi vijijini watu wanajenga kwenye hilo mimi hua sina excuse yoyote ni mentality tu kwani usipojenga wakitaka kukuua watakuacha? Lazima kuwekeza kwenu hata kidogo maana ndio kwenu huwezi kua na kwingine kwa thamani kama kwenu kwenye retirement age ni muhimu kurudi kupumzika nyumbani sasa kuepuka kelele za mijini huko unakua na vikuku, vimbuzi kadhaa, vikanga, vibata, miti ya machungwa kiasi na mapapai kiasi, hapo ni kupumzika tu unavaa yebo zako na jinzi fulani royal colour ya heshima unahudhuria jumuia na kushiriki matatizo ya wengine kijijini basi unasubiri siku zipite basi
 
Bibi yetu tumejuchanga wajukuu tumemjengea nyumba ya bati
Kahama kahamia nyumba ya Nyasi kwa mdogo wake anasema bati linampgia kelele mvua inaponyesha

Afadhali iwepo kama hivo na sio kuleta excuse kwenye mambo ya msingi kama hayo na hayo ndio maendeleo yenyewe vijiji vyetu tutasema vibaya lakini bila kushtuka kukawa na nyumba bora bado sii haki kwa wazee wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom