Mkianza kuwaona Maaskofu ni watu wa kawaida ktk jamii basi anguko li karibu.

Gospel Preacher

JF-Expert Member
Jan 17, 2018
233
263
Mkiona maaskofu wanawashauri na kuwakemea badala la kuchukua hatua na kutafakari makemeo na mashauri yao, na matamko ya Maaskofu hawa badala yake mnawajibu kwa vijembe vya mitandaoni na kwenya magazeti, basi jua kuwa anguko lipo karibu sana.

Ninaposema kuwa Maaskofu msiwachukulie watu wa kawaida haina maana kama wao sio watu ila tu, ni wanadamu ambao Mungu amewapa dhamana ya kutunza maelfu ya watu.

Hebu waza, maaskofu wa KKKT na Roman catholic chini yao wanaidadi gani ya makanisa na watu? Hapo toa akina Gwajima,kakobe,katunzi,mzee wa upako,gamanywa,mwingira,mwamposa,na wengine weeengi...

Kama wakihakikisha kuwa hawapewi heshima wala hakuna thamani ktk vitu wanavyoishauri serikali na nchi kwa ujumla ,nao wakaamua kufundisha na kuhubiri umuhimu wa kumchagua kiongozi na mabadiliko ya Nchi, wakatumia mwaka mzima wa 2019 kufundisha hayo na kuhimiza mabadiliko.JE? NINI KITATOKEA?

KUHUSU KUCHANGANYA DINI NA SIASA.

Dhana ya dini na siasa imeshika hatamu sana,lakini kitu ambacho watu hawakijui ni kwamba,huwezi kuvitenga vitu hivi yaani dini na siasa,kwasababu zilianza kuwa sambamba tangu karne ya 1, na ukifuatilia kuna baadhi ya dini ziliaza na wanaharakati na siasa, yaani kuna dini ambazo zipo direct na serikali.

Ili wainjilist tuhubiri injili inatupasa kuwa na amani na amani ni matunda ya siasa safi,na kama siasa ya nchi ikichafuka hakutakuwa na amani so hatutaweza kuhubiri injili, hivyo ni lazima tuhimize amani na siasa safi ya nchi.

Nawasilisha.

Gospel Preacher
The Gospel of Salvation.
 
Eti sisi tunawaletea maendeleo wananchi hayo mengine hayana maana! Hawa jamaa wanaona kazi wanayofanya ni hisani yao na si haki ya raia!
 
Umenena vyema mtumishi, ole wao wanaobeza na kudhihaki ujumbe na maoni kutoka kwa "wapakwa mafuta" hawa kwasababu tu ya kuvimbiwa na madaraka ama kusaka tonge ilhali ukweli wa mambo unajulikana.
Mkiona maaskofu wanawashauri na kuwakemea badala la kuchukua hatua na kutafakari makemeo na mashauri yao, na matamko ya Maaskofu hawa badala yake mnawajibu kwa vijembe vya mitandaoni na kwenya magazeti, basi jua kuwa anguko lipo karibu sana.

Ninaposema kuwa Maaskofu msiwachukulie watu wa kawaida haina maana kama wao sio watu ila tu, ni wanadamu ambao Mungu amewapa dhamana ya kutunza maelfu ya watu.

Hebu waza, maaskofu wa KKKT na Roman catholic chini yao wanaidadi gani ya makanisa na watu? Hapo toa akina Gwajima,kakobe,katunzi,mzee wa upako,gamanywa,mwingira,mwamposa,na wengine weeengi...

Kama wakihakikisha kuwa hawapewi heshima wala hakuna thamani ktk vitu wanavyoishauri serikali na nchi kwa ujumla ,nao wakaamua kufundisha na kuhubiri umuhimu wa kumchagua kiongozi na mabadiliko ya Nchi, wakatumia mwaka mzima wa 2019 kufundisha hayo na kuhimiza mabadiliko.JE? NINI KITATOKEA?

KUHUSU KUCHANGANYA DINI NA SIASA.

Dhana ya dini na siasa imeshika hatamu sana,lakini kitu ambacho watu hawakijui ni kwamba,huwezi kuvitenga vitu hivi yaani dini na siasa,kwasababu zilianza kuwa sambamba tangu karne ya 1, na ukifuatilia kuna baadhi ya dini ziliaza na wanaharakati na siasa, yaani kuna dini ambazo zipo direct na serikali.

Ili wainjilist tuhubiri injili inatupasa kuwa na amani na amani ni matunda ya siasa safi,na kama siasa ya nchi ikichafuka hakutakuwa na amani so hatutaweza kuhubiri injili, hivyo ni lazima tuhimize amani na siasa safi ya nchi.

Nawasilisha.

Gospel Preacher
The Gospel of Salvation.
 
Sadaka na matoleo yamepungua nao wanaisoma namba tehe tehe tehe mkono wa jpm mrefu mno unamgusa kila mtu *****
 
Siku za mwisho watu watapenda zaidi pesa na starehe, manabii wa uongo watakaotumia jina la Yesu na Mungu, hapo ndo wateule wa Mungu watasimama. Mwabudu Mungu sio askofu ndugu. Bahati nzuri neno la Mungu limehubiriwa sana kwa msaada wa roho mtakatifu so hamna excuse kila mtu anajua kipi chema kipi kibaya
 
Siku za mwisho watu watapenda zaidi pesa na starehe, manabii wa uongo watakaotumia jina la Yesu na Mungu, hapo ndo wateule wa Mungu watasimama. Mwabudu Mungu sio askofu ndugu. Bahati nzuri neno la Mungu limehubiriwa sana kwa msaada wa roho mtakatifu so hamna excuse kila mtu anajua kipi chema kipi kibaya
Hata wewe una baba wa kiroho
 
wakihubiri kuchaguliwa Lowasa si ndio furaha yenu mbona unatuonya tuwaheshimu wasihubiri Lowasa kuchaguliwa? au hutaki Lowasa achaguliwe?

kama ulivyosema Mungu kawapa kuongoza maelfu ya watanzania lkn Mungu huyohuyo kampa jpm kuongoza mamilioni 60 ya watanzania hivyo unaweza kujua ni yupi anapaswa kusikilizwa zaidi.
 
Maaskofu ni watu kama watu wengine,tatizo mnawakuza sana mpaka kuwapa nafasi baada ya mungu,kama heshima wapewe viongozi wote wa dini,maaskofu,mashehe na viongozi wa dini zote zilizopo.kuna viongozi wa dini zingine hua wanakamatwa,wanafungwa na wengine wapo sero mbona hampigi kelele?
Mwandishi wa makala nakuuliza.
Nyerere katika kitabu chake kimoja aliwahi kuwashauri hao maaskofu wasijitenge na jamii wawe ndani ya jammii kama viongozi wa dini nyingine.
 
Mkiona maaskofu wanawashauri na kuwakemea badala la kuchukua hatua na kutafakari makemeo na mashauri yao, na matamko ya Maaskofu hawa badala yake mnawajibu kwa vijembe vya mitandaoni na kwenya magazeti, basi jua kuwa anguko lipo karibu sana.

Ninaposema kuwa Maaskofu msiwachukulie watu wa kawaida haina maana kama wao sio watu ila tu, ni wanadamu ambao Mungu amewapa dhamana ya kutunza maelfu ya watu.

Hebu waza, maaskofu wa KKKT na Roman catholic chini yao wanaidadi gani ya makanisa na watu? Hapo toa akina Gwajima,kakobe,katunzi,mzee wa upako,gamanywa,mwingira,mwamposa,na wengine weeengi...

Kama wakihakikisha kuwa hawapewi heshima wala hakuna thamani ktk vitu wanavyoishauri serikali na nchi kwa ujumla ,nao wakaamua kufundisha na kuhubiri umuhimu wa kumchagua kiongozi na mabadiliko ya Nchi, wakatumia mwaka mzima wa 2019 kufundisha hayo na kuhimiza mabadiliko.JE? NINI KITATOKEA?

KUHUSU KUCHANGANYA DINI NA SIASA.

Dhana ya dini na siasa imeshika hatamu sana,lakini kitu ambacho watu hawakijui ni kwamba,huwezi kuvitenga vitu hivi yaani dini na siasa,kwasababu zilianza kuwa sambamba tangu karne ya 1, na ukifuatilia kuna baadhi ya dini ziliaza na wanaharakati na siasa, yaani kuna dini ambazo zipo direct na serikali.

Ili wainjilist tuhubiri injili inatupasa kuwa na amani na amani ni matunda ya siasa safi,na kama siasa ya nchi ikichafuka hakutakuwa na amani so hatutaweza kuhubiri injili, hivyo ni lazima tuhimize amani na siasa safi ya nchi.

Nawasilisha.

Gospel Preacher
The Gospel of Salvation.
Askof ni cheo cha mwisho kikanisa la kwanza na hata tafsiri ya Bible
Hudumab5 ndio kila kitu

Mitume
Manabii
Waalimu
Wachungaji
Wapeleka injili.

Hawa wakitoa walaka niatashtuka na kuuzingatia.

Akiwapo nabii nitasema naye kwa ndoto.
Hta waganga wa jadi nao Wanaweza kipaya taarifa kutoka idara ya habari ya mbingu na kuzirusha kwa wateja wao

Mshana rithi kiti Cha Mzee kingunge uje kutoa walaka wa Wakuu wa vilinge
 
Mkiona maaskofu wanawashauri na kuwakemea badala la kuchukua hatua na kutafakari makemeo na mashauri yao, na matamko ya Maaskofu hawa badala yake mnawajibu kwa vijembe vya mitandaoni na kwenya magazeti, basi jua kuwa anguko lipo karibu sana.

Ninaposema kuwa Maaskofu msiwachukulie watu wa kawaida haina maana kama wao sio watu ila tu, ni wanadamu ambao Mungu amewapa dhamana ya kutunza maelfu ya watu.

Hebu waza, maaskofu wa KKKT na Roman catholic chini yao wanaidadi gani ya makanisa na watu? Hapo toa akina Gwajima,kakobe,katunzi,mzee wa upako,gamanywa,mwingira,mwamposa,na wengine weeengi...

Kama wakihakikisha kuwa hawapewi heshima wala hakuna thamani ktk vitu wanavyoishauri serikali na nchi kwa ujumla ,nao wakaamua kufundisha na kuhubiri umuhimu wa kumchagua kiongozi na mabadiliko ya Nchi, wakatumia mwaka mzima wa 2019 kufundisha hayo na kuhimiza mabadiliko.JE? NINI KITATOKEA?

KUHUSU KUCHANGANYA DINI NA SIASA.

Dhana ya dini na siasa imeshika hatamu sana,lakini kitu ambacho watu hawakijui ni kwamba,huwezi kuvitenga vitu hivi yaani dini na siasa,kwasababu zilianza kuwa sambamba tangu karne ya 1, na ukifuatilia kuna baadhi ya dini ziliaza na wanaharakati na siasa, yaani kuna dini ambazo zipo direct na serikali.

Ili wainjilist tuhubiri injili inatupasa kuwa na amani na amani ni matunda ya siasa safi,na kama siasa ya nchi ikichafuka hakutakuwa na amani so hatutaweza kuhubiri injili, hivyo ni lazima tuhimize amani na siasa safi ya nchi.

Nawasilisha.

Gospel Preacher
The Gospel of Salvation.
Kuhubiri injili si lelemama,ni wito kutoka kwa Mungu na uvumilivu wa hali ya juu kabisa ,injili huubiriwa kwenye giza ili walio gizani waone mwanga wa kristo,wakati muafaka wa kuhubiri neno ni sasa na si kucheza ngoma zilizile wanazocheza kina wambowe, nyie waheshimiwa sana maaskofu mnatakiwa mcheze ngoma za mbinguni ,mzame kwenye neno la maarifa na ufahamu zaidi,mzame kwenye maombi na maombezi,vinywa vyenu vitoe maji matamu,ili watu wanywe wapone,msije mkaingia kwenye mitego ya kisiasa,tunaomba msimame kwenye nafasi zenu za kiroho.
 
Kwa kifupi
Ningekuwa rais wa nch hii
Ningeruhusu Maandamano kila baada ya miezi 3 ili watu watpoge kelele weee

Na ningekuwa najiunga nao
Nayapokea mwenyewe
Naanda na vyombo vya habari vya nje ili waje waona kwamba hatuogopi njama hyo wanayoipanga
Makinikia yanawauma roho wanatamani jiwe litoke ili waweke poyoyo wao

Magufili

Ruhusu waandamane na uwapokee pale jangwani ili kiu zao ziwatoke

Mh.....nakupa mbinu ya kuwazima wanaowatu...
Itisha maandamano hayo wewe mkuu wa nchi....waambie waje na mabango yao yote

Unayasoma unawapa majibu hapo hapo.panawekwa ulinzi mkali wa makomando
Hakuna fujo

Mwisho wa kuandamana saa saba mchana.

Tena wakodie na treni watoke makwao na warudi.

Wasikisumbie kichwa
Hawa ni watumwa wa wanaotunyonya malo zetu.

Waandamane tu.
 
kuna ajenti wa shetani ndani ya awamu hii - si bure!

naomba Mungu yatokee kama yale ya nyakati za Nuhu, Sodoma & Gomora, etc ambapo uovu na udhalimu viliangamizwa.
 
Back
Top Bottom