Kumbe ni sehemu moja tu...sawa,taasisi gani ndio inamuombea?
Na picha na video ziko wapi?
Idadi ya watu je?
Kuombewa is actually waste of time...praying is the most dumbest thing a sane human can do...Instead of wasting time trying to convince God to change his mind just for your selfish reasons,you better get out and actually do something to clear that problem you are praying for....
The concept of Praying is for stupid people...
Who the f**ck are you to request God to change his 4 billions years old plan just for u stupid human being?
mkuu unakurupuka!! umechekesha sana
unakiri Mungu yupo na anaweza kuwa na plan ya 4bn yrs....ila unatka wasiombe....
It is like this ..neno kuomba ni sawa na ibada
1.wanamsifu na kumtukuza Mungu
2.wanamshukuru Mungu
3.wanasafisha mioyo yao
4.wanaomba neema ya Mungu for 2018
by they way are you gay??
HAKUNA KITU KIBAYA DUNIANI KAMA KUPOTEZA MUDA....Uwanja wa Taifa Kwa waliopo huko Mh. Rais atawakilishwa na Mzalendo mwenzie Ndugu Paul Christian Makonda!
Kabila yake ishamwangusha.Muoombeeni atubu atubu kwanza!!
Alafu kwanini kila mnapoandika post za kumsifia jamaa mnaweka namba zenu za simu?? ni kwamba mnajipendekeza au??
Ule mkesha wa kuliombea taifa haujaanza Leo umekuwepo kabla Na utaendelea kuwepo hata baada acheni kiki.Uwanja wa Taifa Kwa waliopo huko Mh. Rais atawakilishwa na Mzalendo mwenzie Ndugu Paul Christian Makonda!
KWETU MAKANISA YOOOTE YAMEUNGANA KUFANYA kinyumeUchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.
Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.
Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
AmenLaana ya kuzaa na mke wa mtu itamuandama mpaka siku ya kufa kwake
Nenda ukapumzike mzalendo, wajibu ulionao kwa taifa hili ni mkubwa sana. Wakipatikana watu wengine 9 kama wewe, tutazungukwa na viwanda hadi tukose mahala pa kujenga makazi.wewe ni mpuuzi kama huoni kazi anazofanya magufuli utakuwa mwendawazimu angalia maafuriko ya uwanja wa taifa
Nenda ukapumzike mzalendo, wajibu ulionao kwa taifa hili ni mkubwa sana. Wakipatikana watu wengine 9 kama wewe, tutazungukwa na viwanda hadi tukose mahala pa kujenga makazi.
Ushinzie mboa!
Habari bila picha ni sawa na bureUchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.
Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.
Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
Maombi yanamgusa Mungu hutanguliwa na toba ya kweli.Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka....
Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.
Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.
Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
Sio mzima ww!Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.
Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.
Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.