Mkesha wa Mwaka mpya: Maelfu wajitokeza kumuombea Rais na Tanzania kwa ujumla

Dada Cocochannel nijipige vibao tena?

Vyuma vimekaza kote..

Kuanzia serikalini...vyuma vimekaza..

Kaserikali masikini,bajeti hovyo..ndogo mno...


Kenya's GDP is nearly twice our stupid GDP...what money this poor govt have?Vyuma vimewakazia pia,big time!

Kuhusu vyuma kukaza mama,ni kote!angoma droo!


Acha porojo jiongeze.. nyie ndio wakukimbiwa na watu kwa kuwa - maishani kisa yenu hayaendi.. si mara elfu mtu akae na mtu ambaye yupo + akijua atavuka alipo kama vyuma vinekaza.. maana sio kwa wote vinekaza.
 
Mleta maada amesababisha nikaichukue Rifle yangu na kuisafisha vumbi. stay warned ndugu mleta thread, ujinga wako kuhusu bashite na huyo pogba wenu, we're not interested
Mwoga utamjua tu. Kujificha uso huku anaongea "kijasiri", ha ha ha.
 
Halafu kuna shenz type wanasema oooh rais haendwi afu nyieeeee, nawaona tu
 
Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.

Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.

Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
Anastahili kuombewa kama wagonjwa wengine
 
Wee ndio unachekesha sana...


Siamini kama kuna mungu au shetani or any abstract constructed being called whatever name that is..


Nimejibu kumuhusisha huyo "mungu" wake yeye anaeamini kua alishapanga kila kitu kuanzia kuumbwa kwa dunia according kwa vitabu vyao..(i wonder what kind of this clown god who authors books and hasnt released a documentary yet)

Kama unataka tubishane kuhusu SALA kua ni wastage of time,useme that we can go at it...

your question shows your gay tendencies...do not bring them to somebody else....your gayness is irrelevant here

wanaoamini hakuna Mungu ni gays...nimekuuliza wewe mmoja wao? so jibu ndio au hapana

kama utasema hapana, at least kazi yangu ya kukuombea itakuwa ndogo

maskini mkubwa unaishi Tandale kwa Tumbo, umepanga chumba kimoja, simu ya Tecno...ushadanganywa na walimwengu..hakuna Mungu....

beliefs ambazo hauwezi ukasema kwa baba na mama yako mzazi..miungu yako ya dunia hii
 
wanaoamini hakuna Mungu ni gays...nimekuuliza wewe mmoja wao? so jibu ndio au hapana

kama utasema hapana, at least kazi yangu ya kukuombea itakuwa ndogo

maskini mkubwa unaishi Tandale kwa Tumbo, umepanga chumba kimoja, simu ya Tecno...ushadanganywa na walimwengu..hakuna Mungu....

beliefs ambazo hauwezi ukasema kwa baba na mama yako mzazi..miungu yako ya dunia hii



Waberoya na uzee wote wa kukaa humu JF unazidi kuuhakikishia umma how good you are on not using your own brain...

Tatizo umeishia kua mganga wa jadi na kuanza kupiga ramli na kuagua ili kujua anything from someone you even do not know at all..Umeishia kwenye speculations tu...Ndio maana watu wa dini na wachawi hawana tofauti whatsoever..

Vyote ulivyo-speculate above havina ukweli wowote....Ni kichaa tu atakae conclude eti only atheist are gays..And hey, do not project your own insecurities to other people you even do not know

Mimi maskini mkubwa?!Really?!Na wewe ni tajiri mkubwa!Happy now?...Hizi dharau unazoonesha nyuma ya keyboard Waberoya shows how efficient you are on being stupid...Dini ndio inakuelekeza kudharau watu namna hiyo kuwasingizia vitu u have no proof of!Nice of you.

Kazi ya kuniombea?Hii high moral ground unayojipa ya kuombea wanadamu wengine is an illusion,u have none whatsoever....Ni binadamu dhaifu na mtenda makosa kama mimi au mwingine yeyote,huu utakatifu unaojipa sijui unautoa wapi...Please do yourself a service kwa kujiombea kwanza uache dharau,matusi na ku-undermine other human beings then u can even talk..

Belief siwezi ongea mbele ya wazazi wangu?Another shitloads of speculations...Kwanza sina belief on anything....to me,there is absence of belief....Wazazi wangu have nothing to do with what I choose to do or think as long as it is a common human decency all across the board...

Waberoya,umo humu tangu nikiwa shule....What u are spewing is not expected from an old head like you...This madness is beyond me
 
wewe ni mpuuzi kama huoni kazi anazofanya magufuli utakuwa mwendawazimu angalia maafuriko ya uwanja wa taifa
acha unafiki kijana utakuua huo leo pale hakukuwa na tukio maalum zaid ya mkesha wa kuuaga mwaka. hilo la kubea taifa na viongoz wake ni mada ndogo tu ktk ibada ya kuuaga mwaka kitu ambacho ni cha kawaida kabisa .usidanganye watu kwamba lengo kuu la mkesha ule llilikuwa kumuombe asiye penda kukosolewa huo ni uongo

na najiuliza sana kwa nini mna tumia nguvu kubwa sana kuulazimisha umma uamini kwamba huyo mtu wenu anapendwa? kwa nini nguvu yote hii hadi mnatumia na uongo kumpamba? huwa siwaelewi maaba nijuavyo mm ubora wa mtu hauhitaji wapiga debe bali hujidhihirisha wenyewe kwa nini ninyi mpo bize tena zaid ya sana kutulazimisha tumuone bora hata kwa mambo ya uongo? hapo llazima kuna walakin sehema na lazima ninyi mnao fanya kazii hiyo ni watu mlio andaliwa kwa kazi hiyo

maana wengine hayo maendeleo mnayo dai anayaleta wala hatuyaon zaid ya kuyasikia midomon bila vitendo maana mengine yote ni ya kawaida kabisa hayahitaj hata kusifiwa.. WAJINGA WATUPU NYIE WATU
 
Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.

Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.

Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
 
Kumbe ni sehemu moja tu...sawa,taasisi gani ndio inamuombea?

Na picha na video ziko wapi?

Idadi ya watu je?


Kuombewa is actually waste of time...praying is the most dumbest thing a sane human can do...Instead of wasting time trying to convince God to change his mind just for your selfish reasons,you better get out and actually do something to clear that problem you are praying for....

The concept of Praying is for stupid people...
Video hii hapa
 
Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.

Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.

Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
Ukitaka kujua ata makumi hawakujitokeza kuomba kwa ajili yake soma post zinazotumwa hapa..!

Mh. Rais anadouble standards nyingi mno.
 
mnachanganya dini na siasa! siwezi kumwombea nisije nikashughulikiwa na kamishina !!
 
Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.

Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.

Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.

Acha wehu wewe umekuwa Nani kuwasemea watanzani,MTU timamu huwezi kumuombea kiongozi mchafu kiroho kama sisonje,mi watu wengi ninaokutana nao wanamuombea mabaya we hao wako umewatoa wwp
 
Back
Top Bottom