Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.
Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.
Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.
Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.