Mkesha wa Mwaka mpya: Maelfu wajitokeza kumuombea Rais na Tanzania kwa ujumla

Kumbe ni sehemu moja tu...sawa,taasisi gani ndio inamuombea?

Na picha na video ziko wapi?

Idadi ya watu je?


Kuombewa is actually waste of time...praying is the most dumbest thing a sane human can do...Instead of wasting time trying to convince God to change his mind just for your selfish reasons,you better get out and actually do something to clear that problem you are praying for....

The concept of Praying is for stupid people...

Who the f**ck are you to request God to change his 4 billions years old plan just for u stupid human being?

mkuu unakurupuka!! umechekesha sana

unakiri Mungu yupo na anaweza kuwa na plan ya 4bn yrs....ila unatka wasiombe....

It is like this ..neno kuomba ni sawa na ibada

1.wanamsifu na kumtukuza Mungu
2.wanamshukuru Mungu
3.wanasafisha mioyo yao
4.wanaomba neema ya Mungu for 2018


by they way are you gay??
 
mkuu unakurupuka!! umechekesha sana

unakiri Mungu yupo na anaweza kuwa na plan ya 4bn yrs....ila unatka wasiombe....

It is like this ..neno kuomba ni sawa na ibada

1.wanamsifu na kumtukuza Mungu
2.wanamshukuru Mungu
3.wanasafisha mioyo yao
4.wanaomba neema ya Mungu for 2018


by they way are you gay??


Wee ndio unachekesha sana...


Siamini kama kuna mungu au shetani or any abstract constructed being called whatever name that is..


Nimejibu kumuhusisha huyo "mungu" wake yeye anaeamini kua alishapanga kila kitu kuanzia kuumbwa kwa dunia according kwa vitabu vyao..(i wonder what kind of this clown god who authors books and hasnt released a documentary yet)

Kama unataka tubishane kuhusu SALA kua ni wastage of time,useme that we can go at it...

your question shows your gay tendencies...do not bring them to somebody else....your gayness is irrelevant here
 
Ni wapumbavu na wajinga pekee ndio watakusanyika kumwombea huyo Magufuli,hivi mbona mnampamba sana kafanya nini cha maana hadi sasa kwa watanzania wa kawaida acheni unafiki
 
Uwanja wa Taifa Kwa waliopo huko Mh. Rais atawakilishwa na Mzalendo mwenzie Ndugu Paul Christian Makonda!
Ule mkesha wa kuliombea taifa haujaanza Leo umekuwepo kabla Na utaendelea kuwepo hata baada acheni kiki.
 
Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.

Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.

Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
KWETU MAKANISA YOOOTE YAMEUNGANA KUFANYA kinyume ACTION YA KWANZA WAMEOMBA MVUA INYESHE NA KWELI IMENYESHA SASA TUNAWASHA MOTOOOOOOO
 
Mleta maada amesababisha nikaichukue Rifle yangu na kuisafisha vumbi. stay warned ndugu mleta thread, ujinga wako kuhusu bashite na huyo pogba wenu, we're not interested
 
wewe ni mpuuzi kama huoni kazi anazofanya magufuli utakuwa mwendawazimu angalia maafuriko ya uwanja wa taifa
Nenda ukapumzike mzalendo, wajibu ulionao kwa taifa hili ni mkubwa sana. Wakipatikana watu wengine 9 kama wewe, tutazungukwa na viwanda hadi tukose mahala pa kujenga makazi.

Ushinzie mboa!
 
Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.

Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.

Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
Habari bila picha ni sawa na bure
 
Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka....
Maombi yanamgusa Mungu hutanguliwa na toba ya kweli.
2 NYAKATI 7:14

*[[2Ch 7:14]] KJV* If my people, which are called by my name, shall humble themselves, and pray, and seek my face, and turn from their wicked ways; then will I hear from heaven, and will forgive their sin, and will heal their land.
 
Anatakiwa atubu hasipotubu hasira ya Mungu hike juu yake




Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.

Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.

Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
 
Uchapakazi wake na kujitolea kwake kupiga vita rushwa, fisadi na ukiritimba uliokithiri pamoja na kujitoa kwake kutetea tabaka lililosahaulika kwa miaka mingi tabaka la wanyonge ndiko kunafanya azidi kupendwa na watanzania tulio wengi licha ya kundi dogo lililokuwa la wanyang'anyi kufanya juu chini kutengeneza propaganda za kuuchafua utawala wake uliotukuka.

Inatia hamasa kuona ni jinsi gani watanzania walio wengi wakifurahishwa na utendaji wa Rais Dr John P. Magufuli pamoja Serikali yake.

Hii imedhihirika kwenye mkesha wa mwaka mpya ambapo maelfu ya raia Tanzania nzima wamejitokeza katika maeneo mbalimbali kuliombea taifa na M.h Rais ili mungu ampe nguvu na afya aweze kutimiza azma yake ya kutupeleka katika uchumi wa kati.
Sio mzima ww!
 
hawa ndio wanatumwa na Bashite,nimeangalia hilo tukio lilikuwa Mubashara ITV,TBC1&2 ila hakukua na umati ningetegemea watu wangejaa mpka kwenye majukwaaa chakushangaza haata uwanja haukuwa nyomi.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom