Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Nimeingia Arusha jana na familia.
Saivi nipo Picnic , nakula bia mbili tatu nikalale !Nipo na mazimba wa Jiji la Arusha , marafiki zake Mh.Godbless Lema (Mb).
Upo wapi , upo na nani na unafanya nini mkesha huu ( wa kipekee) Mwaka Mpya 2019.
2018 umekuwa mwaka mgumu, msoto mkubwa sana !
Sent using Jamii Forums mobile app
Saivi nipo Picnic , nakula bia mbili tatu nikalale !Nipo na mazimba wa Jiji la Arusha , marafiki zake Mh.Godbless Lema (Mb).
Upo wapi , upo na nani na unafanya nini mkesha huu ( wa kipekee) Mwaka Mpya 2019.
2018 umekuwa mwaka mgumu, msoto mkubwa sana !
Sent using Jamii Forums mobile app