Asnam JF-Expert Member Joined Jan 18, 2012 Posts 4,256 Reaction score 2,949 Oct 1, 2013 #61 Speaker said: Kuna tofauti sana kati ya njia unayo pita peke yako kila siku,na njia waliyo pita watu 20 kwa mda flani. Click to expand... huwezi kujua hicho kitu kama hujawa nae,labda uoe bikira ndo useme emepita peke yako otherwise huna guarantee
Speaker said: Kuna tofauti sana kati ya njia unayo pita peke yako kila siku,na njia waliyo pita watu 20 kwa mda flani. Click to expand... huwezi kujua hicho kitu kama hujawa nae,labda uoe bikira ndo useme emepita peke yako otherwise huna guarantee
Speaker JF-Expert Member Joined Aug 12, 2010 Posts 6,324 Reaction score 2,242 Oct 1, 2013 Thread starter #62 jouneGwalu said: Bado hivi vitu havitegemeani kabisa mkuu wangu nakwambia! Haya mapenzi yana mikasa yake utacheka na kupasuka mbavu.... Kikubwa ni kuishi kwa amani tu na vile inavyokupendeza, hayo mengine unayakuta na kupambana nayo kama inavyokupendeza vilevile! Click to expand... Duh,naomba nipate hekima kama yako. Lakini imani yangu bado ni kwamba unalo tenda una tendewa pia kwa upande mwingene.
jouneGwalu said: Bado hivi vitu havitegemeani kabisa mkuu wangu nakwambia! Haya mapenzi yana mikasa yake utacheka na kupasuka mbavu.... Kikubwa ni kuishi kwa amani tu na vile inavyokupendeza, hayo mengine unayakuta na kupambana nayo kama inavyokupendeza vilevile! Click to expand... Duh,naomba nipate hekima kama yako. Lakini imani yangu bado ni kwamba unalo tenda una tendewa pia kwa upande mwingene.
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,334 Reaction score 23,940 Oct 1, 2013 #63 Speaker said: Duh,naomba nipate hekima kama yako. Lakini imani yangu bado ni kwamba unalo tenda una tendewa pia kwa upande mwingene. Click to expand... Walk and see bro...walk and see!!!!:bathbaby:
Speaker said: Duh,naomba nipate hekima kama yako. Lakini imani yangu bado ni kwamba unalo tenda una tendewa pia kwa upande mwingene. Click to expand... Walk and see bro...walk and see!!!!:bathbaby:
Kyooma JF-Expert Member Joined Sep 20, 2013 Posts 224 Reaction score 98 Oct 1, 2013 #64 Speaker said: Mwanamke unayemchezea leo, ndio mke wa mwenzako kesho!!!! Je?? Unamjua mke wako wa kesho anafanywa nini leo?? Click to expand... Badilisha kauli kwanza unamchezea MNACHEZEANA???
Speaker said: Mwanamke unayemchezea leo, ndio mke wa mwenzako kesho!!!! Je?? Unamjua mke wako wa kesho anafanywa nini leo?? Click to expand... Badilisha kauli kwanza unamchezea MNACHEZEANA???
Z zedlyn JF-Expert Member Joined Mar 14, 2012 Posts 1,492 Reaction score 1,072 Oct 1, 2013 #65 Heaven on earth said: Hahaaaaaaa.........na wewe wapewa maujuzi na maikspiriensi siku mkikuttana full equiped na silaha za maangamizi.......... Click to expand... tatizo la wanaume ukiwa mjuzi sana kwa bed anakuona ma.laya na ukiwa mkusanya mashuka anakuita gogo, hawajielewi nini wanataka
Heaven on earth said: Hahaaaaaaa.........na wewe wapewa maujuzi na maikspiriensi siku mkikuttana full equiped na silaha za maangamizi.......... Click to expand... tatizo la wanaume ukiwa mjuzi sana kwa bed anakuona ma.laya na ukiwa mkusanya mashuka anakuita gogo, hawajielewi nini wanataka
Daud omar JF-Expert Member Joined Apr 4, 2011 Posts 2,458 Reaction score 986 Oct 1, 2013 #66 Mwanamke unaemchezea leo ndio mke wa mwenzio wa kesho, na jee unajuwa mke wako wa kesho leo wanamfanya nini?
Mwanamke unaemchezea leo ndio mke wa mwenzio wa kesho, na jee unajuwa mke wako wa kesho leo wanamfanya nini?
Munkari JF-Expert Member Joined Feb 9, 2013 Posts 8,084 Reaction score 4,363 Oct 1, 2013 #67 Wanajua!
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Oct 1, 2013 #68 Munkari said: Wanajua! Click to expand... Thread is closed........
jouneGwalu JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 2,687 Reaction score 1,782 Oct 1, 2013 #69 Lakini imani yangu bado ni kwamba unalo tenda una tendewa pia kwa upande mwingene. Click to expand... Msikilize sana Mentor na post zake... lol Walk and see bro...walk and see!!!!:bathbaby: Click to expand... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Lakini imani yangu bado ni kwamba unalo tenda una tendewa pia kwa upande mwingene. Click to expand... Msikilize sana Mentor na post zake... lol Walk and see bro...walk and see!!!!:bathbaby: Click to expand...
Daud omar JF-Expert Member Joined Apr 4, 2011 Posts 2,458 Reaction score 986 Oct 1, 2013 #70 Heaven on earth said: Thread is closed........ Click to expand... Ei! jamanyi usiifunge, ngoja waje wengine wasomee..
Heaven on earth said: Thread is closed........ Click to expand... Ei! jamanyi usiifunge, ngoja waje wengine wasomee..
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 34,637 Reaction score 37,959 Oct 1, 2013 #71 Heaven on earth said: Thread is closed........ Click to expand... Ngoja mimi na wewe tuifungue hiyo zipu iliyotumika kuifunga hakafu ikibakiwa ndo tuendeleze
Heaven on earth said: Thread is closed........ Click to expand... Ngoja mimi na wewe tuifungue hiyo zipu iliyotumika kuifunga hakafu ikibakiwa ndo tuendeleze
Royals JF-Expert Member Joined Nov 19, 2011 Posts 1,472 Reaction score 378 Oct 1, 2013 #72 Mie nipo psmoja nawe hiyo kitu hain makombo wala kipimo kwani Mungu alifanyahivyo mskusudi'laa isingekuwa hivyo tungeangamizana wenyewe.inatakiwa siku zote umthamini sana mkeo na huwezi pata mke aliye malaika.
Mie nipo psmoja nawe hiyo kitu hain makombo wala kipimo kwani Mungu alifanyahivyo mskusudi'laa isingekuwa hivyo tungeangamizana wenyewe.inatakiwa siku zote umthamini sana mkeo na huwezi pata mke aliye malaika.
Speaker JF-Expert Member Joined Aug 12, 2010 Posts 6,324 Reaction score 2,242 Oct 1, 2013 Thread starter #73 Mentor said: Walk and see bro...walk and see!!!!:bathbaby: Click to expand... Hahaha,nita jaribu nione ulimwengu ulivo
Mentor said: Walk and see bro...walk and see!!!!:bathbaby: Click to expand... Hahaha,nita jaribu nione ulimwengu ulivo
kabiriga JF-Expert Member Joined Nov 18, 2012 Posts 1,163 Reaction score 1,213 Oct 1, 2013 #74 hawajui watajua wakishajua
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,317 Reaction score 108,369 Oct 1, 2013 #75 Daud omar said: Mwanamke unaemchezea leo ndio mke wa mwenzio wa kesho, na jee unajuwa mke wako wa kesho leo wanamfanya nini? Click to expand... Ganda la muwa la jana, chungu kaona kivuno.
Daud omar said: Mwanamke unaemchezea leo ndio mke wa mwenzio wa kesho, na jee unajuwa mke wako wa kesho leo wanamfanya nini? Click to expand... Ganda la muwa la jana, chungu kaona kivuno.
Z ZE AMBIGUITY Member Joined May 3, 2013 Posts 5 Reaction score 0 Oct 1, 2013 #76 wapo wanao oana bado slled na wenyewe je?nikuomba MUNGU coz mke mwema,mme mwema wanatoka kwa MUNGU
M Mwashelii JF-Expert Member Joined May 7, 2013 Posts 477 Reaction score 90 Oct 1, 2013 #77 Daud omar said: Mwanamke unaemchezea leo ndio mke wa mwenzio wa kesho, na jee unajuwa mke wako wa kesho leo wanamfanya nini? Click to expand... Asante
Daud omar said: Mwanamke unaemchezea leo ndio mke wa mwenzio wa kesho, na jee unajuwa mke wako wa kesho leo wanamfanya nini? Click to expand... Asante
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,920 Oct 1, 2013 #78 Big like
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,317 Reaction score 108,369 Oct 1, 2013 #79 farkhina said: Big like Click to expand... weye ushawahi kuchezea au kuchezewa?
Daud omar JF-Expert Member Joined Apr 4, 2011 Posts 2,458 Reaction score 986 Oct 1, 2013 #80 watu8 said: weye ushawahi kuchezea au kuchezewa? Click to expand... Unataka jibu?