duh! We jamaa yaani ni mjinga sana, unamruhusu mkeo kufanya ujinga huo, tena pumbavu sana!
WF; je iko sawa hii situation kuluusu MKEO/MCHUMBA kuvaa kanga-moko tepe-tepe na kwenda kwenye maonyesho ya kukata MAUNO mbele ya watu.
Mind you: Uyu MKEO/MCHUMBA, kila kitu kinaonekana njenje au tepwe tepwe
Naombeni wf, tulijadili kwa pamoja
Unaona mkia wa mbwa halafu unauliza makalio yako wapi? Unataka tujadili nini sasa?
Wewe unategemea nini...kama unaona ni sawa kwanini unauliza tena. Use your subconcious mind!
I love JF. . . lol
huyo sio mke..hajamaliza ujana wake muache mwenzako ili akamalizie ujana wake
Wewe unategemea nini...kama unaona ni sawa kwanini unauliza tena. Use your subconcious mind!
Kiswahili chenyewe unachoandika hakieleweki, utamuelimisha nani??/[/B][/COLOR]sikia mkuu, siyo kila mada inayo kuja apa air silazima iwe skendo yako apa tuna elimishana tu
kuwa uyaone
Kiswahili chenyewe unachoandika hakieleweki, utamuelimisha nani??/