Mkeka wa TRA lini?

Waliitwa lini mkuu na why wasitangaze public kuwa hakuna usaili?
 
Hujachunguza
 
😄😄 bangi nibangue.

Tuma salamu kwa watu watatu.
 
Vuteni subira,shirika la reli (TRC) lenyewe lilitangaza kazi zao tarehe 15/11/2021 Ila wameitwa kwenda kwny interview tarehe 5/2/2022 wkt TRA yenyewe ilitangaza kazi zao mbele ya TRC kwny tarehe 20/11/2021 huko,kaeni kiaskari.
Eh! TRA deadline ilikuwa tarehe 4/11/2021 mzee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…