Mkeka wa TRA lini?

Mkeka wa TRA lini?

Mkuu wiki ijayo wanatoa. Sina uhakika na tarehe lakini kwa uzoefu utumishi huwa ni mwezi mmoja tu wanaachia
 
Mambo job seekers wenzangu?
Kuna mwenye fununu ya hawa utumishi watatoa lini ule mkeka wa kazi za tra ambazo deadline ilikua 4/11/2021?
Tunataka tukajaribu bahati zetu.
Job seeker walioomba ni wengi mnoo nadhani kwa mtazamo wangu itachukua time Mpk Jan 2022. All in all unapaswa kujipanga hata ili hata wakitangaza kesho unakuwa nondo
All the best wote watakaochaguliwa kwa ajili ya interview
 
Job seeker walioomba ni wengi mnoo nadhani kwa mtazamo wangu itachukua time Mpk Jan 2022. All in all unapaswa kujipanga hata ili hata wakitangaza kesho unakuwa nondo
All the best wote watakaochaguliwa kwa ajili ya interview
Nimekupata mheshimiwa
 
Nitashangaa kuona Mkeka wa TRA unatoka kabla ya ule wa TANESCO ambao deadline ilikuwa 28 November.
Nitashangaa Sana. Na nitaamini kweli Kuna jambo lisilo la kawaida.
 
Mambo job seekers wenzangu?
Kuna mwenye fununu ya hawa utumishi watatoa lini ule mkeka wa kazi za tra ambazo deadline ilikua 4/11/2021?
Tunataka tukajaribu bahati zetu.
Muda wa kuwasiliana na ile namba ya Mganga Tanga 😅
 
Mkuu j3 amini hata muwe laki j3 inachukua mwezi tu kuitwa kwenye interview kikubwa jiandae tafuta getto huko dom
 
Nitashangaa kuona Mkeka wa TRA unatoka kabla ya ule wa TANESCO ambao deadline ilikuwa 28 November.
Nitashangaa Sana. Na nitaamini kweli Kuna jambo lisilo la kawaida.
Tra deadline ilikua 4th November.
 
Nitashangaa kuona Mkeka wa TRA unatoka kabla ya ule wa TANESCO ambao deadline ilikuwa 28 November.
Nitashangaa Sana. Na nitaamini kweli Kuna jambo lisilo la kawaida.
Hizo za Tanesco azipo tena fanya mambo mengine interview inayofata ni TRA
 
wakuu na majina interview ya pccb jamani lini wakee
 
Back
Top Bottom