Serikali zote duniani zina miundo namna ya uendeshaji nchi hilo ni wazo tu ukilipeleka serikali yeyote linatekelezeka mkuuOndoa shaka
Chadema hawataondoa ajira yako au posho zako.
Inawezekana wakaziboresha zaidi ili uishi kama binadamu.
Babu endelea kukaza kamba!View attachment 3642696
Kwa yanayoendelea nchini utabiri wa huyu mzee bado upo hai ?
View attachment 3642696
Kwa yanayoendelea nchini utabiri wa huyu mzee bado upo hai ?
Meta aliniambia kwenye conversation moja kuwa Yamal kashinda golden ball 2026WC π.Mbona jamiicheck wanapinga kuwa huyo mtabiri hakuwahi kusema hayo maneno!
Aisee.π³π³π³π³π³π³π³π³Meta aliniambia kwenye conversation moja kuwa Yamal kashinda golden ball 2026WC π.
Hii mifumo utendaji wale unategemea zaidi taarifa watumiaji wanazoziweka kwenye hiyo mifumo.
Mkeka wa huyu sheikh janja janja naukumbuka vyema,ni maneno alisema.
Kwa hiyo ni Uongo??Niliwahi kuomba video au audio huyo mzee akiyasema hayo, nikaishia kupewa maneno ya khanga
Wapi nimesema ni uongo?Kwa hiyo ni Uongo??
Gaidi πππUsishangae wakaenda kulichimba kaburi ili jamaa ashitakiwe