Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,645
In return for?:tape:
In return for a ginormous bear hug
In return for?:tape:
Sasa bwana ni hivi. Hell hath no fury like a woman scornedIn return for a ginormous bear hug
Msamehe 7 x 70. Ndio maagizo ya kiimani.
Next time muambie atongoze hausiboi ama mlinzi ili owe inhouse
Sasa bwana ni hivi. Hell hath no fury like a woman scorned
Its possible that the guy in question has cheated on his wife (the culprit) time and again and she is paying him back in kind. Oh I would!
Yamenitokea kweli wadau Mke wangu wa ndoa aliingiza mwanaume ndani ya nyumba na kulala nae mpaka asubuhi kwakati me nk safari kibiashara adhabu yake ni nini? Hii ni pamoja kuvuluga mtaa yaani ametembea na marafiki zangu
Msamehe 7 x 70. Ndio maagizo ya kiimani.
Next time muambie atongoze hausiboi ama mlinzi ili owe inhouse
Chunguza chanzo cha yeye kufanya hvyo,kama unahisi hatobadirika bora umpe talaka tena fasta
Kiserikali mtu ukiishi nae miezi mitatu ni mke/mumeo
Mkate clitoris nyege zipungue..zitakazobaki ni saizi yako uzimalize mwenyewe...
Nikisema huku ni full ma stress watu hawanielewi. Jukwaa la siasa ni kelele tu lakini hakuna stress.
Sasa hii kama si kutiana stress asubuhi-asubuhi ni nini?
Ngoja nirudi kwenye mada;
Kwanza nataka kujuwa huyo ni mkeo wa ndoa ya kihalali? au ni mwanamke tu unaishi nae na mnasingizia kuwa ni mke na mume, maana siku hizi neno mke au mume linatumika kiholela tu.
Nijibu hilo kabla sijakupa ushauri.
Pole buda. Mwanaume ni kujikaza. Before taking any action, jaribu sana kutafuta kiini ama sababu zilizompelekea kutenda kitendo ka hicho. Labda ni wewe humtoshelezi kimapenzi. Au labda ilikuwa retaliatory attack, iwe ulikuwa ushafanya hivo nawe sasa ataka kulipiza .Good luck