ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,642
- 3,270
Uyo Shem wetu kakusaliti simply because humkuni....usitafute mchawi. Mchawi ni wewe mwenyewe! Apo dawa yake na wewe uingize mwanamke ndani
Uyo Shem wetu kakusaliti simply because humkuni....usitafute mchawi. Mchawi ni wewe mwenyewe! Apo dawa yake na wewe uingize mwanamke ndani
Its not easy for a woman to take that first step unless its for revenge. Na hasa kumleta hadi ndani.
Kama ulimuumiza sana haya ni mambo mnaweza kuongelea na mkasameheana.
Hahaha! Kiserikali? Hakuna kitu kama hicho mkuu. Labda hiyo ni serikali yako binafsi!
Mkuu hapa umepotosha!
Ni miaka miwili si miezi mitatu!
Basi utakuwa umeshiriki moja kwa moja kwenye dhambi ya uzinziAh sitaki kushiriki kwenye dhambi ya mauaji..
Mkuu usimwache wala nini,ili kupunguza maumivu fanya yafuatayo:
1.Hakikisha kwa vyovyote unamgonga mdogo wake huyo wa kike,gonga mpaka na kabang kabisa,halafu ifanye kama nyumba ndogo kabisa mradi wife asishtukie mchezo unaoendelea.
2.Kama mama yake mzazi yupo tumia hela naye mgonge
3.Tafuta mashosti zake nao wagonge,ili wao nao wawe wanamsanifu kama marafiki zako walivyokuwa wanakusanifu wewe.
kaka sijawahi kama ningekuwa mchafu ningeanza na mdogo wake maana nimemkwepa sana, na mtaani nina heshima kubwa lakni kwa sasa nimevuliwa nguo kabisa
rafiki mmoja ambaye amekili kwa mke wake na kujutia hili anajisikia vibaya ambaye nae mke wake na mke wangu walikuwa kifanya wote umalaya ila mke wangu amemzidi ujanja na kutembea na mume wake ndy ikabidi amwage ukweli mtupu ambayo meseji ambazo nilizozikamata zimezilisha mke wangu ni mchafu
sidhani kama hili lina ukweli kaka maana ametembea na wanaume sita kwa muda mfupi sana so amekusudia huyu
hata kama ningekuwa na kasoro ya aina gani ivi guest zimejaa mpaka utembee na marafiki zangu
Hatua nilizochukuwa nimkurejesha kwao
meseji nilizoprintiwa kwenye mtandao ambao alikuwa akitumia hafai hata chembe kuwa mke wa mtu ni meseji chafu sana alikuwa anachat na wanaume wanne kwa meseji za mapenzi kwa wakati mmoja NAMSHUKURU MUNGU SIKUFANYA MAUWAJI ila kwa sms hizi hali ni mbaya sana huyu ni shetani mkubwa
asanteni wadau nimependa ushauri wenu na tauchukuwa unaonifaa tu
Yamenitokea kweli wadau Mke wangu wa ndoa aliingiza mwanaume ndani ya nyumba na kulala nae mpaka asubuhi kwakati me nk safari kibiashara adhabu yake ni nini? Hii ni pamoja kuvuluga mtaa yaani ametembea na marafiki zangu
sidhani kama hili lina ukweli kaka maana ametembea na wanaume sita kwa muda mfupi sana so amekusudia huyu
Yamenitokea kweli wadau Mke wangu wa ndoa aliingiza mwanaume ndani ya nyumba na kulala nae mpaka asubuhi kwakati me nk safari kibiashara adhabu yake ni nini? Hii ni pamoja kuvuluga mtaa yaani ametembea na marafiki zangu