I love youCall me old fashioned but..............mimi ndio maana I truly believe "Si vyema mwanamke kumshinda wadhifa, mapato ama hata elimu mwenza wake!".Pole sana mkuu. Ukute unahaha bure for nothing but inferiority complex.
I love youCall me old fashioned but..............mimi ndio maana I truly believe "Si vyema mwanamke kumshinda wadhifa, mapato ama hata elimu mwenza wake!".Pole sana mkuu. Ukute unahaha bure for nothing but inferiority complex.
Mume wa waziri aje kuomba ushauri JF?! Labda waziru wa wasafi au manzese maanake nasikia wasafi wana rais manzese pia.
Duhh, mbona kama wooote inawahusu, lakini yule wa ... imem'bamba zaidiKwa kugues atakuwa waziri nan huyu anayemsumbua mwanajamvi
Wewe ni kada lakini siyo mume wa mh. waziri.Ndugu zangu,wote tunatafuta maisha na n kweli tunapenda pesa na kuendesha familia vzr.Shida tu n kwenye WIVU wa kimapenzi.
Hakai akatulia, kila siku anazurura tu kila kona mikoani na nje ya nchi na wakubwa wenzie. Ninapopiga cm au kutuma msg, anasema yupo busy full time.Lakini kwenye Whatsap muda wote simu yake ipo ONLINE.
Toka awamu iliyopita,mambo n hayahaya.Nilimfuata Dodoma kuna wakati nalala peke yangu,yeye yupo busy kwenye vikao vya chama na serikali mpaka usiku wa manane.Akirudi tu,simu inaita,anaondoka tena.
Nina stress wakuu.Sina raha ya kuwa nae,japo chochote analeta nyumbani.Ila dah..mpaka kilo zimepungua.
Naombeni ushauri jamani...
Yupo namjua Waziri wa Mambo ya Ndani, Habari ila hawawezi kuja kuomba ushauri wa kipuuzi kama huu,in fact wewe unaefikiri kuna Waziri atskuja na thread kama hii ndio unawadharau.Unaidharau JamiiForum?
Kwa Taarifa yako humu mna mawaziri Kibao !
Pia kumbuka kuna wakati Waziri wa Nyumba na makaazi Mama Tibaijuka alikuja 'waziwazi ' tukamshauri kuhusu mji mpya Kigamboni.
Kuna watu hufikiri kwa kiwango cha chini sana,wewe ni Mgeni humuMume wa waziri aje kuomba ushauri JF?! Labda waziru wa wasafi au manzese maanake nasikia wasafi wana rais manzese pia.
Mmmmhh majanga jamaniWewe acha kudanganya watu hapa, huyo waziri unaye sema mkeo, sio mkeo alikuwa kimada wako, ulikuwa unalelewa, We si kada wa CCM mtiifu, unaitwa LAMU ELIZAYO PASCHAL, Acha kubweteke fanya kazi ndugu, amekupangia nyumba pale Mikocheni, amekupa gari, shoping ya mavazi n.k kwa lengo la kupiga mechi vizuri, wewe umeridhika na kuanza kuota kitambi, mechi huwezi tena. Tayari Waziri kapata Kijana mwingine anamkanda vizuri kuliko wewe, we endelea kuisoma namba.
Unajibu kwa kupanik ili iwejeHakuna mme wa waziri mwenye akili punje kama zako. Wewe mkeo ni muuza bar. Mvumilie tu wateja wenyewe wa manati siku hizi. Akichelewa ina maana siku hiyo alibahatisha wateja.
Bibi yule nini.... wa bwana yuleDuhh, mbona kama wooote inawahusu, lakini yule wa ... imem'bamba zaidi
Mawaziri wanawake wa awamu hii ambao awamu iliyopita pia walikuwa mawaziri ni wa wangapi?Ndugu zangu,wote tunatafuta maisha na n kweli tunapenda pesa na kuendesha familia vzr.Shida tu n kwenye WIVU wa kimapenzi.
Hakai akatulia, kila siku anazurura tu kila kona mikoani na nje ya nchi na wakubwa wenzie. Ninapopiga cm au kutuma msg, anasema yupo busy full time.Lakini kwenye Whatsap muda wote simu yake ipo ONLINE.
Toka awamu iliyopita,mambo n hayahaya.Nilimfuata Dodoma kuna wakati nalala peke yangu,yeye yupo busy kwenye vikao vya chama na serikali mpaka usiku wa manane.Akirudi tu,simu inaita,anaondoka tena.
Nina stress wakuu.Sina raha ya kuwa nae,japo chochote analeta nyumbani.Ila dah..mpaka kilo zimepungua.
Naombeni ushauri jamani...
Haswaa manake bwana yule kaachwa .... bibi yule yuko ziarani na vikaoniBibi yule nini.... wa bwana yule
mkuu wanaume ni vigumu kukubali kuchapiwa mkeo hata kama anakipato kikubwa! Hata ukiwa na mchepuko ukisikia mkeo anagegedwa utaacha mchepuko utatoka mbio kufumania.Baba kula maisha achana na habari za wivu! Tumia pesa zake kutafutia furaha, siku akimaliza hatamu atarudi nyumbani akukute uko mchungu kama shubiri coz utamu wako watakua washauliza watoto wa mjini!
Ndugu zangu,wote tunatafuta maisha na n kweli tunapenda pesa na kuendesha familia vzr.Shida tu n kwenye WIVU wa kimapenzi.
Hakai akatulia, kila siku anazurura tu kila kona mikoani na nje ya nchi na wakubwa wenzie. Ninapopiga cm au kutuma msg, anasema yupo busy full time.Lakini kwenye Whatsap muda wote simu yake ipo ONLINE.
Toka awamu iliyopita,mambo n hayahaya.Nilimfuata Dodoma kuna wakati nalala peke yangu,yeye yupo busy kwenye vikao vya chama na serikali mpaka usiku wa manane.Akirudi tu,simu inaita,anaondoka tena.
Nina stress wakuu.Sina raha ya kuwa nae,japo chochote analeta nyumbani.Ila dah..mpaka kilo zimepungua.
Naombeni ushauri jamani...