Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,045
- 20,408
Mke waziri very sorry bro,take your 50 and turn left
Mkuu i know how you feel but nakuomba PM kuna kitu naamini kitaksaidia sana ila nsingependa kukiweka bayana hapa.
Kama mkeo ni Yule waziri WA afya hata Mimi ningepungua kilo.Ndugu zangu,wote tunatafuta maisha na n kweli tunapenda pesa na kuendesha familia vzr.Shida tu n kwenye WIVU wa kimapenzi.
Hakai akatulia, kila siku anazurura tu kila kona mikoani na nje ya nchi na wakubwa wenzie. Ninapopiga cm au kutuma msg, anasema yupo busy full time.Lakini kwenye Whatsap muda wote simu yake ipo ONLINE.
Toka awamu iliyopita,mambo n hayahaya.Nilimfuata Dodoma kuna wakati nalala peke yangu,yeye yupo busy kwenye vikao vya chama na serikali mpaka usiku wa manane.Akirudi tu,simu inaita,anaondoka tena.
Nina stress wakuu.Sina raha ya kuwa nae,japo chochote analeta nyumbani.Ila dah..mpaka kilo zimepungua.
Naombeni ushauri jamani...
Hahaha...sina milioni saba..Unamjua Sururu? Haha
Mambo swtie!Hahaha...sina milioni saba..
Poa honey...Mambo swtie!
Teh teh.. Sururu linachimba sasa sijui mchuchu anapiga mechi saa ngapiHahaha...sina milioni saba..
Si unajua mwili nao una madai yake!Poa honey...
Naona umekasirika mimi kuwa waziri umekuja na ID nyingine kunisema..
I still love you...ni majukumu ya kiserikali tu my love..
Kwel nifa mungu hakupi yoteAma kweli pesa sio kila kitu,wakati sisi tunatafuta pesa wenzetu wanazo lakini hawana furaha!
Wakati huohuo sisi tusiokuwa na pesa tuna furaha.
Inashangaza sana!
Tunda au a.k.a... Unapata au hupati?Ndugu zangu,wote tunatafuta maisha na n kweli tunapenda pesa na kuendesha familia vzr.Shida tu n kwenye WIVU wa kimapenzi.
Hakai akatulia, kila siku anazurura tu kila kona mikoani na nje ya nchi na wakubwa wenzie. Ninapopiga cm au kutuma msg, anasema yupo busy full time.Lakini kwenye Whatsap muda wote simu yake ipo ONLINE.
Toka awamu iliyopita,mambo n hayahaya.Nilimfuata Dodoma kuna wakati nalala peke yangu,yeye yupo busy kwenye vikao vya chama na serikali mpaka usiku wa manane.Akirudi tu,simu inaita,anaondoka tena.
Nina stress wakuu.Sina raha ya kuwa nae,japo chochote analeta nyumbani.Ila dah..mpaka kilo zimepungua.
Naombeni ushauri jamani...
Tupo pamoja mkuu kwa sababu nakukubali mdau wangu sioni ugumu kukupa warning. unajua nini i know this chick.Mkuu big gift, chill basi mdau wangu..
Daaahh unafeli mwanangu, unatakiwa uwe happy for me na mtoto mzuri.!
Stop this mwanangu! Ukweli tunaujua me and her.. Just be happy for us
Call me old fashioned but..............mimi ndio maana I truly believe "Si vyema mwanamke kumshinda wadhifa, mapato ama hata elimu mwenza wake!".Pole sana mkuu. Ukute unahaha bure for nothing but inferiority complex.
hahahaaaaaaaaaaaaKumbe waziri wa UDSM?