Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,915
Huu uzi una lengo gani kama sio tu kumdhalilisha mkeo? Kwani usingeuweka hapa ungeathirika nini?Kama ujumbe unavojieleza.
Nina mke ambaye ni mjamzito, ujauzito uko kwenye late first trimister, amekuwa akinisumbua kuwa ana hamu ya mashine yangu muda wote na bahati mbaya niko mbali sana kikazi...
Wadau hii experience sina hebu nisaidieni
Sent using Jamii Forums mobile app