2018
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 546
- 778
Kama ulikuwa na msimamo wako, ushauri uliomba wa nini? Unapaswa uende na mkeo clinic na ww usikie maelekezo ya kitaalamu kwa afya ya mama na mtoto ili na ww uwe unamkumbusha mwenza wako pindi akipitiwa ebo!Dr. Wansegamila kama upi Dr? Ninachojua nanilichojipanga nikumzui kutonyonyesha mtoto pindi atakapozaliwa , hatoweza kunyonyeshwa nitamnunulia maziwa tu yanayo ruhusiwa
Sent using Jamii Forums mobile app