Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,372
- 17,920
Mkuu hapa utaalika maswali sana. Mimi nina swali, mkeo hajasema anahisi alipata katika mazingira gani?
Najua sio lazima ngono, napia inaweza kuwa ngono lakini kamwe asikubali kusema ukweli alichepuka.
Au alijamiiana na wewe bila kupima wakati alipopata uja uzito? Mahusiano yenu yalikuwa mapya wakati unampa mimba?