ngulukizi
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 511
- 1,433
Alijifungua kawaidaVip alijifungua kawaida au kwa opereshini? Maana na sikia akijifungua kwa operation kuna risk ndogo ya maambukizi kwa mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Alijifungua kawaidaVip alijifungua kawaida au kwa opereshini? Maana na sikia akijifungua kwa operation kuna risk ndogo ya maambukizi kwa mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa ushaur wako mkuuWanaruhusiwa kunyonyesha miezi 6
Kama mama hana tatizo,umri huu mtoto huwa hana meno ya kung'ata
Na hapa mama anaendelea kutumia dawa,pia mtoto anapewa dawa muda wa miezi 3 ya mwanzo kuzuia maambukizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, nina uhakika na ninachozungumza. Mwanamke mjamzito anakuwa anapata huduma kwenye kitengo cha afya ya mama na mtoto, na siku ya kujifungua watumishi wa hicho kitengo attention yote inakuwa kwake siku hiyoAisee acha ujinga nipo seriously ktk hali , mke wangu anaenda lakini hakuna care zaidi ya kuchekiwa kama wajawazito wengine ndiomana naomba ushauri hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Peleka privateAisee acha ujinga nipo seriously ktk hali , mke wangu anaenda lakini hakuna care zaidi ya kuchekiwa kama wajawazito wengine ndiomana naomba ushauri hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes nampeleka private hospital akajisubirie hukoPeleka private
Au km serikalini tafuta dr wako uwe unamtip,ataamuangalia vzr
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani na wewe umepitia hayo?Sio kweli, nina uhakika na ninachozungumza. Mwanamke mjamzito anakuwa anapata huduma kwenye kitengo cha afya ya mama na mtoto, na siku ya kujifungua watumishi wa hicho kitengo attention yote inakuwa kwake siku hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Clinic muhimu...
Ila watu mna mapenzi na mahaba ya mwili na damu hasa!
Kuishi na +...tena unapiga kavu kavu..ni zaidi ya kupenda na uvumilivu...mno..
Wengine na mtoto angesamehe..
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani wale wenye uzoefu mnielekeze nifanye ili mke wangu ajifungue salama pasipo kumpa maambukizo mtoto aliyeko tumboni wakati wa kujifungua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dr. Wansegamila kama upi Dr? Ninachojua nanilichojipanga nikumzui kutonyonyesha mtoto pindi atakapozaliwa , hatoweza kunyonyeshwa nitamnunulia maziwa tu yanayo ruhusiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda alikuwa anao hata kipindi hujakuwa nae akaanza dozi mapema sana sasa akakaa kimya kukupa taarifa siku mliyoenda kucheki pamoja ndio akajifanya hajui ndio maana hajakwambukiza ingekuwa hatumii dawa kitendo cha wewe kugusa tu ungepata.
Mrejesho mke wangu mwenye HIV + amejifungua salama kwa operation , kambiwa anyonyeshe mbaka muda wa miezi sita huku mtoto akipata dawa ya kuzuia maambukiziMkuu ulichesema ni kweli anayetumia dawa ana chance ndogo ya kuambukiza lakini...pia zipo kesi kibao mtu anafanya ngono na mtu ambaye hatumii dawa na anapiga kavu na hapati maambukizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongereni sana mkuu. Mungu awajalie afya njema mama na mtoto.Mrejesho mke wangu mwenye HIV + amazaa salaama kwa operation , kambiwa anyonyeshe mbaka muda wa miezi sita huku mtoto akipata dawa ya kuzuia maambukizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu!!!Mrejesho mke wangu mwenye HIV + amazaa salaama kwa operation , kambiwa anyonyeshe mbaka muda wa miezi sita huku mtoto akipata dawa ya kuzuia maambukizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwani sio lazima yakukute moja kwa moja unaweza yaona kwa ndugu jamaa na Marafiki.Ndio
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si ndio umeuliza kama yamenikuta au la? Mbona jibu langu unaanza kulipaka mekapu?Pole kwani sio lazima yakukute moja kwa moja unaweza yaona kwa ndugu jamaa na Marafiki.
Nimecheka mpaka patna wangu ananiuliza nacheka nini?Wewe si ndio umeuliza kama yamenikuta au la? Mbona jibu langu unaanza kulipaka mekapu?
Sent using Jamii Forums mobile app