MKE WANGU NAOMBA UJE SASA

MKE WANGU NAOMBA UJE SASA

True Man11

Member
Joined
Oct 14, 2022
Posts
86
Reaction score
119
Uwe mrefu flani hivi, shep ya ki model mwenye nyama, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo uwe mkoa wowote ila tutaishi dar, kama umebahatika kupata mtoto naomba isiwe zaidi ya mmoja, miaka kuanzia 22 - 30, muhimu saana uwe ushaamua kuwa mke, ndoa yetu mwaka huu Mungu akijaalia, kama ni wewe au una ndugu ama rafiki basi naomba mnisaidie pia nimpate huyu mke wangu namtafuta sana kila kona!

nina miaka 36, naishi dar es salaam mrefu kiasi, umbo la kawaida (nipo kwenye profile yangu) muajiriwa na biashara pia, naishi dar. karibuni sana PM
 
Uwe mrefu flani hivi, shep ya ki model mwenye nyama, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo uwe mkoa wowote ila tutaishi dar, kama umebahatika kupata mtoto naomba isiwe zaidi ya mmoja, miaka kuanzia 22 - 30, muhimu saana uwe ushaamua kuwa mke, ndoa yetu mwaka huu Mungu akijaalia, kama ni wewe au una ndugu ama rafiki basi naomba mnisaidie pia nimpate huyu mke wangu namtafuta sana kila kona!

nina miaka 36, naishi dar es salaam mrefu kiasi, umbo la kawaida (nipo kwenye profile yangu) muajiriwa na biashara pia, naishi dar. karibuni sana PM
Ushaanza kujipata pata unataka kuleta tatizo ndani la kukuvuruga.

Tembelea hata mahakamani kwenye kesi za ndoa ujifunze kitu ndio ufanye maamuzi.


Kataa ndoa ufanye maisha mzee!
 
Ushaanza kujipata pata unataka kuleta tatizo ndani la kukuvuruga.

Tembelea hata mahakamani kwenye kesi za ndoa ujifunze kitu ndio ufanye maamuzi.


Kataa ndoa ufanye maisha mzee!
Maisha unamfanyia nani sasa mkuu?
mara nyingi tunatafuta sababu ya familia zetu mkuu, mama/baba/mke/watoto..............................
 
Mkuu sema unataka awe na tako mbona unafichaficha......nyama ndiyo nini? Au unamaanisha awe anamiliki butchery??
 
Mkuu sema unataka awe na tako mbona unafichaficha......nyama ndiyo nini? Au unamaanisha awe anamiliki butchery??
hahaaaaaaaaaaaaa, sijamaanisha tak** nimesema model mwenye nyama. 😀😀
 
Mkuu unatafuta mwenza tangu 2022
Ni kweli hawaji PM ama kuna namna mnashindwana? Mapenzi ni magumu namna hiyo ama wewe binafsi una shida

2023 ulikuwa na miaka 36
2025 pia una 36?

KENZY nipe jibu
 
Mkuu unatafuta mwenza tangu 2022
Ni kweli hawaji PM ama kuna namna mnashindwana? Mapenzi ni magumu namna hiyo ama wewe binafsi una shida

2023 ulikuwa na miaka 36
2025 pia una 36?

KENZY nipe jibu
Technologia imefukua kaburi 😂😅😅😅
 
Mkuu unatafuta mwenza tangu 2022
Ni kweli hawaji PM ama kuna namna mnashindwana? Mapenzi ni magumu namna hiyo ama wewe binafsi una shida

2023 ulikuwa na miaka 36
2025 pia una 36?

KENZY nipe jibu
UMRI WAKE KAMA WEMA SEPETU UMEGANDA HAPO HAPO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom