Pombe siyo chai kalaleNdugu zangu habiri nyingi sana hamjambo?
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.
Kiukweli nampenda MKE WANGU sana ila wakati mwingine shetani anapitaga tu na pisi kali kinoma basi najisemea kimoyomoyo ujue mimi nimeoa afu afu toto kama hili linakatiza basi najisahaulisha naanza kutia mistari ya kuomba namba....Nikimaliza kupiga shoo tu namkumbuka sana MKE WANGU..
Huyu shetani alaaniwe tu hadi siku ya KIYAMA.
Hebu lala.Na mkeo naye anajilaumu kama wewe kwa bakora anazochapwa na wahuni...
Bora ww unakumbuka. Wengine hawakumbuki kabisaNdugu zangu habiri nyingi sana hamjambo?
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.
Kiukweli nampenda MKE WANGU sana ila wakati mwingine shetani anapitaga tu na pisi kali kinoma basi najisemea kimoyomoyo ujue mimi nimeoa afu afu toto kama hili linakatiza basi najisahaulisha naanza kutia mistari ya kuomba namba....Nikimaliza kupiga shoo tu namkumbuka sana MKE WANGU..
Huyu shetani alaaniwe tu hadi siku ya KIYAMA.
Shida hujafungiwa Spidi Gavana na Yesu.Ndugu zangu habiri nyingi sana hamjambo?
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.
Kiukweli nampenda MKE WANGU sana ila wakati mwingine shetani anapitaga tu na pisi kali kinoma basi najisemea kimoyomoyo ujue mimi nimeoa afu afu toto kama hili linakatiza basi najisahaulisha naanza kutia mistari ya kuomba namba....Nikimaliza kupiga shoo tu namkumbuka sana MKE WANGU..
Huyu shetani alaaniwe tu hadi siku ya KIYAMA.
Hebu lala.
Ndo unaamka sasa hivi mkwe