mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Siyo siri mwenzenu nimechanganyikiwa na sielewi hatma ya ndoa yetu.
Nashindwa kumwelewa mamito wangu! [mama watoto wangu] Tuna miaka 5 ndani
ya ndoa yetu,na tumebahatika kupata 2 kids. Lakini akiaga kwenda salon tu,basi sahau
kama una mke! yaani atakaa uko from morning till down. Na kinachonisikitisha zaidi ana
penda salon za HIGH KLASS- mikocheni,masaki na mbezi ambazo nafikiri ni very expensive.
Mwenyewe kajipangia Jtano na Jpili [yaani x2 kwa wiki]. Jmatano anafanyiwa pedicure,
manicure,na full body srub. Jpili anapendelea kusukwa nywele ndogondogo hivi ndefu au wana
mshonea nywele fake za wazungu na zinakuwa kama zake original,akimaliza hapo anaingia
massage room na anafanyiwa massage. siku hizo anarudi home saa tatu hadi saa nne usiku.
kuna siku nilimshuhudia analipa billservice yake karibu tsh.laki mbili. Nikimgombeza tu anajibu
ulinikuta na maisha haya before na pesa ninazospend ni za kwangu from my job. mmmmh mwe
nzenu ndoa yangu iko matatani au mie ndiye nina matatizo? -Nawasilisha
Nashindwa kumwelewa mamito wangu! [mama watoto wangu] Tuna miaka 5 ndani
ya ndoa yetu,na tumebahatika kupata 2 kids. Lakini akiaga kwenda salon tu,basi sahau
kama una mke! yaani atakaa uko from morning till down. Na kinachonisikitisha zaidi ana
penda salon za HIGH KLASS- mikocheni,masaki na mbezi ambazo nafikiri ni very expensive.
Mwenyewe kajipangia Jtano na Jpili [yaani x2 kwa wiki]. Jmatano anafanyiwa pedicure,
manicure,na full body srub. Jpili anapendelea kusukwa nywele ndogondogo hivi ndefu au wana
mshonea nywele fake za wazungu na zinakuwa kama zake original,akimaliza hapo anaingia
massage room na anafanyiwa massage. siku hizo anarudi home saa tatu hadi saa nne usiku.
kuna siku nilimshuhudia analipa billservice yake karibu tsh.laki mbili. Nikimgombeza tu anajibu
ulinikuta na maisha haya before na pesa ninazospend ni za kwangu from my job. mmmmh mwe
nzenu ndoa yangu iko matatani au mie ndiye nina matatizo? -Nawasilisha