sasa shida ya huyu husband ni kuwa mkewe anaenda saloon expensive au ni kuwa anakawia kurudi saloon au yote mawili yanamchanganya??
Kama ni saloon expensive - basi ndio lifestyle anayotaka huyu wife - naamini hata nguo zake ni expensive; hata nyumba wanayoishi ni expensive; hata magari waliyonayo ni expensive na wakati huyu husband anamchumbia - alikuwa ana outing expensive - na inawezekana familia hiyo ina mshiko wa kutosha - watoto wanasoma expensive school etc. - yaani ni familia ya kujirusha
kuchelewa nyumbani - labda hili ndilo tatizo lako - kama umeshaona hata akilipa - ina maana ulim-escort .......au?? Afadhali ungesikitika kuwa huyu mama hana cha sundays (kwenda kusali) au Fridays .........kama ni moslem ..........yaani ni "kuuchakachua mwili wake" kwa kwenda mbele ............. bila shaka una-muadmire na anapenda kukufurahisha wewe mumewe ...........au???
Ndio shida ya waswahili - kwani hizo fedha si angewasaidia hata watoto yatima na wajane wanaoteseka kuliko kufuja hivyo??? Ongea na mke wako na mwambie Mungu amembariki ili awe baraka kwa wengine pia - hayo maneno ni ya Mungu na yatamgusa moyoni na atabadilika.
I thank all of u kwa kunipa majibu mazuri na yenye hekima zidi ya mamito wangu.
Siyo siri nakereka na vitu hivyo 2. kupoteza mda salon na kuspend mo money ever
where kwa ajiri ya mwili wake. Pia ni kweli nilimkuta ana mazoea ya kwenda salon,
lakini si salon hizi za expensive? That time alikuwa anakwenda salon za uswazi na
alirudi mapema sana home. Na kuhusu vipato vyetu -yeye ni msomi kidogo na amepata
kazi mzuri kidogo kimshahara,na mimi ni wa A'level ya kuungaunga na naendesha bias
hara zangu ma self [mjasilia mali]. Ahsanteni sana nitajaribu kukaanae tena ili nimpe
somo upya kwa manufaa ya our future.
Ukisema unaenda naye ujue patachimbika wewe unadhani laki mbili atazipata wapi ukijifanya betri kwenye gari???uwe una enda nae salon! kama kumsindikiza
Ukisema unaenda naye ujue patachimbika wewe unadhani laki mbili atazipata wapi ukijifanya betri kwenye gari???
I thank all of u kwa kunipa majibu mazuri na yenye hekima zidi ya mamito wangu.
Siyo siri nakereka na vitu hivyo 2. kupoteza mda salon na kuspend mo money ever
where kwa ajiri ya mwili wake. Pia ni kweli nilimkuta ana mazoea ya kwenda salon,
lakini si salon hizi za expensive? That time alikuwa anakwenda salon za uswazi na
alirudi mapema sana home. Na kuhusu vipato vyetu -yeye ni msomi kidogo na amepata
kazi mzuri kidogo kimshahara,na mimi ni wa A'level ya kuungaunga na naendesha bias
hara zangu ma self [mjasilia mali]. Ahsanteni sana nitajaribu kukaanae tena ili nimpe
somo upya kwa manufaa ya our future.
Duh pole sana,pesa yote hiyo siwezi kutumia saloon tu hata nikipewa bure(zo hakuna cha bure)jaribu kuongea nae na kumueleza ugumu wa maisha kwa sasa,hata kama mna kisima cha kuchimba pesa lkn kisima hicho kinahitaji maintenance kwa jili ya pesa mo,mueleze malengo n mipango yenu mliopanga,yepi yametimia yepi hayajatimia na kwann,pangeni income and expenditure yenu,lakini ukiona hiyo pia haifanyi kazi jaribu kutafuta saloon kama hizo ananoenda yeye with te same facilities but cheaper in price mpe suprize trip huko atengenezwe na kupendezeswa as long as umeshajua siku zake za kwenda saloon,hope that will work out,pole sana.
Nakuunga mkono. Uchafu unaofanyika humo, uctamani kuuona.Saluni za bei ghali = Nyumba za Kulala Wageni (Bubu)......