akenajo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 1,634
- 611
Kuna wakati wanakuwa hawaelewani na kuna wakati wanaelewana ,sasa mimi naumia sana hiki kipindi wasichoelewana,nifanye nini?kama kuna mke asiyeelewana na mama mkwe wake umefanya nini kuiondoa hali hio ili nimpe ushauri mke wangu,tuishi wote kwa amani na upendo?Inaniuma sana,tafadhali nipeni ushauri?