Mke wangu na mama mzazi

Ni lazima waishi chini ya paa moja?

dada Kaunga chukulia wewe ndiye mwanaume una mama na mke wako wanakaa nyumba mmoja nani utamhamisha aende ukampangishie pengine hata uwezo wa kutafuta chumba hauna majukumu ni mengi sana. kikubwa nikionacho mimi nikuwakalisha china na kuwaamulisha sitaki ugomvi hapa ndani na sikusema umtoe mmoja wao yaani utaongeza chuki zaidi mama yako ni mama yako na mkeo ni mkeo na kila mmoja ana nafasi yake hapo na nihaki yake kukaa hapo najua wengi watasema mama hana haki ila ukweli kunauwezekano mama umri wake ni mkubwa na hana pa kwenda zaidi ya hapo
 
fuata huu ushauri ni mzuri..ikishindikana watenganishe mpeleke mama yako akaishi kwa watoto wake wa kike kama anao na wewe utume matumizi huko, sio lazima kuishi nae..

element za kusukumia mama yako mzazi akaishi kwa watoto wake wakike ni kupungukiwa hekima na si busara hata siku mmoja mkuu badilisha mitazamo ilishapitwa na wakati. mama yako ni muhimu sana na hatakiwi anyanyasike kwa sababu ya mwanamke open you mind!!!!
 
dada Kaunga chukulia wewe ndiye mwanaume una mama na mke wako wanakaa nyumba mmoja nani utamhamisha aende ukampangishie pengine hata uwezo wa kutafuta chumba hauna majukumu ni mengi sana. kikubwa nikionacho mimi nikuwakalisha china na kuwaamulisha sitaki ugomvi hapa ndani na sikusema umtoe mmoja wao yaani utaongeza chuki zaidi mama yako ni mama yako na mkeo ni mkeo na kila mmoja ana nafasi yake hapo na nihaki yake kukaa hapo najua wengi watasema mama hana haki ila ukweli kunauwezekano mama umri wake ni mkubwa na hana pa kwenda zaidi ya hapo

Basi kama hivyo ndivyo, unatakiwa kuongeza mapenzi na uaminifu kwa mkeo; ili asipate sababu ya kuwa na kisirani. Hii itamfanya ajiamini na aweze kumvumilia mama mkwe kama ana matatizo.

Maana kama unamfanya awe na kisirani au hasira, uwezekano mkubwa akatafuta mnyonge wake wa kummalizia naye hasira ambaye l am afraid anaweza awe mama yako. Nimekuwa na bibi yangu mzaa baba, na niliona jinsi gani bibi yangu alikuwa na kaukorofi luckily kwa her, my auntie alikuwa karibu. Tulikuwa tunakaa cheyo TBR na aunt alikuwa Tabora girls, so bibi alikuwa anakaa kwetu akichoka anaondoka bila kuaga na anaenda girls, baada ya wiki au two huyo anrudi kwetu (again bila kuaga kule) na sometimes anaweza enda kwa masister (nuns) na kusema tumemtelekeza, lkn kwa vile baba alikuwa anajulikana kidogo, anaambiwa na anakwenda kumchukua.

Maanti hawakuacha kumsema mama kuwa anamtesa, lkn ktk vitu ambavyo ninamsifu marehemu baba yangu ni kumjua vyema mkewe ingawa kwa gharama kubwa ambayo ilitaka kuwatenganisha when l was mdogo sana.

Hivyo kufupisha maelezo, mume ukiwa karibu na mkeo; atajitahidi kuco-exist na mama mkwe wake, just because you are the adorable hubby. Mcheat na mnyanyase kidogo, unampunguzia moyo na sababu ya uvumilivu.
 
Nashukuru wote kwa ushauri mzuri mlionipatia,kuwatenganisha inawezekana ila ni ngumu kiasi kwani hakuna mwingine wa kumwangalia mama zaidi yangu na mke wangu,mimi muda mwingi huwa sipo nyumbani takriban mwezi na kurudi hapo kwa wiki mbili au tatu,ila nawashukuru wote na kama kuna mtu yuko tayari kuja kuwashauri/kutushauri kama familia uso kwa uso neutral person namkaribisha aje anisaidie niwasiliane nae jinsi ya kuonana natanguliza shukrani zangu kwa wote walionipa ushauri chanya:shut-mouth:
 
kwa uandishi wako napata picha kwamba wote wako chini ya dari moja. sikulaumu manake inawezekana that is the only choice you have keeping them under one roof.

iko hivi wakati wowote ukiona watu wawili hawaelewani jua kuna conflict of interest some where. usiumie kwa maneno yangu makali ila ukweli ni hivi.

mama yako mzazi anakuhitaji wewe kama mwanae mpendwa kwahiyo anataka apewe nafasi ya kusikilizwa, kupendwa, kuheshimiwa, kuthaminiwa na hata kuongea na mwanae. like wise mkeo mpendwa anakuhitaji kwahiyo anataka kupewa muda wa kusikilizwa, kuheshimiwa, kupendwa, kuthaminiwa na hata kuongea na wewe.

ugomvi kati yao husababishwa na nini??? ukichunguza utaona kwamba mke ataoana mama anamsema vibaya ama kumtenda vibaya na upande wa pili ni vivyo hivyo. ila kiukweli ugomvi husababishwa na wivu ambao kila mmoja anao juu ya mwenzie juu yako wewe. haya mengine ya sijui mke hajapika vizuri ama mama kamwambia h/gel apike kitu tofauti ni kiini macho tu, ugomvi ni wewe.

ni ngmu sana kwa mwanadamu kuweza kujigawa kuwatumikia watu wawili kiasi hiki kwani ili uweze kuwaweka sawa lazima uwe na watu wenye utashi wa kuvumiliana. na kwasababu kila mmoja ana kichwa chake na akili yake ni ngumu kujua wanawaza nini.

kwangu mm busara ni hii sema na mkeo kwa lugha ya upendo sana ili ajifunze tu kumvumilia mama, na wewe ue upande wa mkeo ili umtie moyo. mama mweleze juu ya msimamoa wako kwa mkeo in a polite way ila usimwambie maneno magumu. kisha mtie moyo mkeo katika neno lolote gumu analokutana nalo toka kwa mama. najua wamama tulivyo na wake tulivyo, tunapenda hata kama ni kwenye party mimi kama make ndo niseme kama tunaenda sote ama ni mimi na mume tu so lazima uvijue vitu kama hivi.

kama kuna uwezo basi mfanye mkeo mtu muhimu sana kwako ili awe stable na mfanye mama mtu wa heshima sana ili ajue naheshimiwa nijiheshimu.

Well said mkuu.
Ni mtihani kuishi pamoja na mama mzazi na mkeo, lakini kupitia mitihani ndio tunashinda na kujenga ujasiri
 
Nashukuru kwa wote mlionipa ushauri chanya nitaufanyia kazi,kuwatenganisha inawezekana ila ni ngumu ktk jamii kumtoa mama au mimi niondoke na mke wangu kumwacha mama pekee ingali hakuna mtu mwingine wa kumtunza kwa ukaribu zaidi yangu na mke wangu,nawashukuru wote na kama kuna mtu anaweza kuja kutuona wote kama familia na kutushauri kwa hili namkaribisha sana,na nitashukuru kwani sitaki kumpoteza yoyote kati yao wote ni watu muhimu sana kwangu na ninawapenda sana wote.ingawa hawajui wanavyoniumiza wakizozana,tena nawashukuru wote na kama kuna mtu wa kuja kutuona na kutushauri naamini italeta big impact tafadhali tuwasiliane jinsi ya kuonana
 
kwa uandishi wako napata picha kwamba wote wako chini ya dari moja. sikulaumu manake inawezekana that is the only choice you have keeping them under one roof.

iko hivi wakati wowote ukiona watu wawili hawaelewani jua kuna conflict of interest some where. usiumie kwa maneno yangu makali ila ukweli ni hivi.

mama yako mzazi anakuhitaji wewe kama mwanae mpendwa kwahiyo anataka apewe nafasi ya kusikilizwa, kupendwa, kuheshimiwa, kuthaminiwa na hata kuongea na mwanae. like wise mkeo mpendwa anakuhitaji kwahiyo anataka kupewa muda wa kusikilizwa, kuheshimiwa, kupendwa, kuthaminiwa na hata kuongea na wewe.

ugomvi kati yao husababishwa na nini??? ukichunguza utaona kwamba mke ataoana mama anamsema vibaya ama kumtenda vibaya na upande wa pili ni vivyo hivyo. ila kiukweli ugomvi husababishwa na wivu ambao kila mmoja anao juu ya mwenzie juu yako wewe. haya mengine ya sijui mke hajapika vizuri ama mama kamwambia h/gel apike kitu tofauti ni kiini macho tu, ugomvi ni wewe.

ni ngmu sana kwa mwanadamu kuweza kujigawa kuwatumikia watu wawili kiasi hiki kwani ili uweze kuwaweka sawa lazima uwe na watu wenye utashi wa kuvumiliana. na kwasababu kila mmoja ana kichwa chake na akili yake ni ngumu kujua wanawaza nini.

kwangu mm busara ni hii sema na mkeo kwa lugha ya upendo sana ili ajifunze tu kumvumilia mama, na wewe ue upande wa mkeo ili umtie moyo. mama mweleze juu ya msimamoa wako kwa mkeo in a polite way ila usimwambie maneno magumu. kisha mtie moyo mkeo katika neno lolote gumu analokutana nalo toka kwa mama. najua wamama tulivyo na wake tulivyo, tunapenda hata kama ni kwenye party mimi kama make ndo niseme kama tunaenda sote ama ni mimi na mume tu so lazima uvijue vitu kama hivi.

kama kuna uwezo basi mfanye mkeo mtu muhimu sana kwako ili awe stable na mfanye mama mtu wa heshima sana ili ajue naheshimiwa nijiheshimu.
Ataona.....otherwise uko sawa . yaonekana wewe ni mlezi mzuri wa familia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom