Hiyo bado haitoshi kua sababu kubwa ya Mtoto kutumia jina la ukoo Baba wa kambo! Bora achukuwe jina la ukoo wa upande wa Mama yake mzazi!!Kama baba yupo yupo hana habar na Mtoto je??
Wamemkataa Mwanamke sio mtoto.Technically Mwanamke mwenzenu anajua tangia mwanzo Baba mpaka ukoo na Familia wamekataa mtoto wake, hata kama akibadili Jina kwanini uumie na kutaka ujadiliane na mtu aliyekubali kumuhudimia mwanao
If someone thinks big there wasn't a point to argue why the man changed child name
Huyu jamaa hajakosea hata kidogo
Inasikitisha sana kama mpaka umri huo hata wanyama wanakuzidi akili.Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.
Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.
Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
MREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.
Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.
Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80, sms 30
Hata ningekuwa mimi hakika ningemwacha, sio kwa sababu amesema mtoto atumie jina la ubini wake, ila kwa reaction ya kupayuka na kutamka maneno kama "zaa wako" aisee, nisingerudi nyuma!Wewe ndo mwenye matatizo utampaje jina mtoto asiye wako kama vile sperm zako haziwezi totolesha
I like you manhoodHata ningekuwa mimi hakika ningemwacha, sio kwa sababu amesema mtoto atumie jina la ubini wake, ila kwa reaction ya kupayuka na kutamka maneno kama "zaa wako" aisee, nisingerudi nyuma!
Niliwahi kuwa na mchumba, nimemlipia mahari na karibu kila ndugu yake alikuwa ananifahamu (in short ilikuwa imebaki ndoa tu)
Siku moja alipata safari ya kikazi, akapitia kwa "rafiki" yake wa kiume bila kunipa taarifa, akakaa huko siku mbili, nilipompigia simu akaniambia yupo njiani anarudi, lakini sauti ilionyesha yupo ndani (mwangwi wa lodge) nikamuuliza mbona unanidanganya?
Majibu yake sasa: "Mbona unanichunga chunga ilhali hata haujanioa, usinichunge chunge hivyo, ukinioa bhana" akakata simu, aisee baada ya pale sikumtafuta tena, aliporudi Dar sikumuuliza uko wapi wala kwenda kwake!
Alipokuja kwangu nilimwambia "Usitie mguu hapa mpaka nitakapokuoa, na ufunguo nikamnyang'anya!
Aliniomba msamaha kwa kupiga simu, kuandika msg, na hata kutumia rafiki/ndugu zangu na wake, but kwa aina ile ya majibu niliona kabisa naenda kuvaa Bomu, sikurudi nyuma wala mahari sikudai!
Mpaka leo yupo tu anatoa pongezi status kila wenzake wanapoolewa!
Sometimes inabidi tu kuwa hivyo, maana hii habari ya kulia lia kila siku kisa mwanamke/mwanaume ni ujinga pia!
Kwani mtoto ni wako? Mbona kawaida tuuNatarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.
Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.
Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
MREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.
Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.
Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80, sms 30
Mwanaume hazai.ila anazalishaZAA WAKO
Kumbe JF bado nzuri hivi.Naipenda J F.Wewe na singo maza wako wote mmekosea.
Tukianza na wewe ni kweli unahudumia mtoto, ila hukupaswa kubadilisha ubini bila kukaa na mwenzio mkakubaliana. ULIKOSEA KUFANYA MAAMUZI PEKE YAKO.
Tuje kwa singo maza wako, HAJIHESHIMU NA HAKUHESHIMU, ni kweli ulimkwaza na kumkosea ila ilitakiwa akwambie bila kutumia maneno makali kama "zaa wa kwako"
Kumuacha inawezekana ni sahihi au sio sahihi, hayo majibu yake yanatia mashaka.
Kusomesha mtoto na kufanya kila kitu, FANYA KAMA UNAMLEA YATIMA NA USITARAJIE LOLOTE, UKISHINDWA KUFANYA HIVYO NI BORA UACHE KABISA MAANA UTAUMIA ZAIDI YA HAPO.
Ni mimi singo maza mstaafu.
Ulikuwa unatafuta sababu ya kumwacha tu.Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.
Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.
Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
MREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.
Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.
Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80, sms 30
Sentensi ya mwisho ndiyo ushauri mzuri. Hizo nyingine ni uzoba na ulofa na kukosa hekima.Usimlipie ada
Akikuita baba mwambie Mimi sio baba yako
Usimpe zawadi
Mtie mimba,mama yake