rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,491
- 41,904
Baba sio kumwaga shahawa na Kutelekezaaa ila wanawake mmejaa upumbavu wa kushindwa kuelewa Baba ni majukumu...!! Kitombo yoyote anakupaa ila majukumu na kulea mtoto huyo ndo baba kwa kuwa hamuelewi hilo ndo maana Mwanaume kudate na Single maza ni Upuuzi..Akili zako mbovu sana,kisa tu unatoa huduma ndio uwe kihele hele kutoa jina kwa mtt mwenye baba yake!!!hv we unafaham uzito wa damu ya mtt wa watu???kama ni kumsomesha we somesha kwa mapenz yako tu kwa mama yake lkn siyo kuintroduce huo upuuzi wako..ipo siku baba yake angemfuata na mtalimana mapanga mchana kweupeee.