Mke wangu kanitenda, naomba ushauri

Mke wangu kanitenda, naomba ushauri

Ekzagtiliy. 😅😅😅

Tena ukiangalia hao wanaume wanaomshauri mwenzao amuache mke wake na wao wanakutana na changamoto kama hizo ila wanaishia kuzimaliza na maisha mengine yanaendelea.
Pacha hakuna washaur wabaya wa mahusiano kama kwenye mitandao
Sio wotee watakaokushaur uzur wengi wao wanasema hili lkn kwenye mahusiano yao wako vile anakwambia muache lkn kama ulivyosema yy anapiga got kusawazisha kwake ww unayabeba kama yalivyoo
 
Si umeona pacha eheeeee acha apambanie ndoa yake
Kabisaa Pacha na miaka kumi na tatu ya ndoa si kitu kidogo.

Asiyejua anaeza ona ni kitu kidogo lakini si kweli kwani kwa hiyo miaka waeza kuta kuna mambo kibao yamefanyika , yenye kusimama yamesimama na mipango mingine mikubwa mbele ilikuwepo sasa kuikatisha ghafula si jambo rahisi kama kunywa chai.
 
Pacha hakuna washaur wabaya wa mahusiano kama kwenye mitandao
Sahihi Pacha sababu kuna wengine wanachukulia ndoa ni jambo dogo kumbe sivyo
Sio wotee watakaokushaur uzur wengi wao wanasema hili lkn kwenye mahusiano yao wako vile anakwambia muache lkn kama ulivyosema yy anapiga got kusawazisha kwake ww unayabeba kama yalivyoo
Hakika na kama hapa kikubwa mleta uzi aangalie tu wapi furaha yake itapatikana.
 
Sahihi Pacha sababu kuna wengine wanachukulia ndoa ni jambo dogo kumbe sivyo
Hakika na kama hapa kikubwa mleta uzi aangalie tu wapi furaha yake itapatikana.
Gud hilo ndio la maana akisema afate yote ya hapa shaur zake
 
Wewe unaonekana mstahimilivu sanaa hao wa Dudu hawajifunzi kabisa wala usipoteze mda eti atajirekebisha kabisa zawadi nzuri tafuta mkaa gunia mbili tu .
Mdudu huzaa mdudu so mawe ni mdudu.
 
Huyu jamaa inawezekana mama yake anafahamu kinachoendelea na amekipa baraka na inawezekana hao watoto wote si wake ni wa huyo ndugu yake inawezekana jamaa hawezi tia mimba ndio mama yake akajiongeza. Maana haiingii akilini kabisa utoe talaka kwa sababu ya uzinzi mama yako amchukue wife akakae nae!!??
Kuna watu mnajua kuwaza uhalisia!

Na huu ndo ukweli

Case closed
 
munisijo, ]"uamuzi wa kuoa is the biggest risk a human being can make".........Kaka marriage is like a suicide mission it's death or life project. Just hear it from people try it one day you will find out the logic behind why Christian priest dont marry........
 
Miaka 13 iliyopita nilikuwa na mahusiano na Dada mmoja ambaye Leo hii ndio mke wangu lkn kabla sijamuoa tulipata mtoto mmoja kipindi napanga tufunge ndoa.

Ndugu zangu wakanitonya kuwa huyu wife anatoka na mtoto Wa Shangazi yangu na huyo first born wangu ni mtoto Wa huyo jamaa na mtoto wa yule ndugu yangu wanafana na first born wangu ktk kuchunguza sikujua ukweli nikapotezea nikaoa mpka sasa tunawatoto wawili huyu Wa sasa ni mm mwenyewe.

Tatizo limeanza nililonalo ambalo naomba mnishauli ni kuwa miezi miwili iliyopita nilisafiri kikazi wkt nipo mkoani wife alinipigia cm kuwa yule ndugu yangu kuna mzigo anamletea nikamwambia poa sasa nikiwa airport kuna jamaa yangu akanambia kamuona wife yupo maeneo usiku Wa sa5 na jamaa anamjua wife vizuri hawezi kumfananisha sikutaka kumpigia cm nilivyoludi dar nikamuuliza akabisha.

Nilipochukua cm yake nikakuta mwasiliano na yule ndugu yangu ambaye niliambiwa jamaa anamtafuna na hata first born wangu ni wake cm kama 8 za kufatana kumhoji kasema jamaa alipiga iliampe ulemzigo alikuwa anamuelekeza kuna mtu kampa amletee wife machale yakanicheza nikafanya nachokijua nikapata ukweli Wa Yale maongezi kumbe jamaa wanaelekezana na wife waonane wapi.

Then wanapnga jamaa aseme hayupo dar na mbaya jamaa kumbe anaiita mm taahira ananipigia cm ananiuliza akijua Niko wapi wanapanga na wife jinsi ya kunidanganya sababu huyu jamaa anaishi Arusha niliwaita wazazi wangu na wakwake mpka kwenye kikao wife aliapa miungu kuwa hakutoka nilipokuja kuwasikilizisha Yale maongezi wote walikaa kimya mpaka wife akaishiwa LA kuongea.

Mzee nikatoa talaka2 lkn wife na mamaangu ni marafiki kwahiyo mama kamchukua mkwewe anakaa nae mpaka EDA iishe waislamu ukiacha ndani ya miezi 3 unaweza mludia mkeo naombeni ushauli.

Mwakani nampango Wa kwenda kuishi Europe kwa muda sasa nawaza huyu mtu nikimludia nikamuacha home sindio itakuwa nimempa Uhuru Wa kufanya yake bora kila mtu aangalie maisha yake na hata nikiwa Europe niishi bila presha ya mke huku nyumbani tusaidiane mawazo wakuu kichwa kinanivuluga maana cjui nichukue uamuzi gani
Mkuu, piga chini huyu mwanamke hawezi kuacha hiyo tabia, we fikiria miaka 8 still bado anachepuka na huyo mtu wake,

Nenda Europe ukiwa umeshaachana nae usihesabu gharama.
 
Hatima ya maisha yako,yapo mikononi mwako na si mikononi mwa wazazi,ndugu au marafiki;fanya kile nafsi yako inavyokuelekeza kufanya.Kwa ushauri wa kiume,piga chini uanze moja.
 
A bag of popcorn please..!

Screenshot_20190511-214009.jpeg
 
daah pole sana kwa kuitwa taahira na mke wako anacheka na kufuraaaahi
 
Back
Top Bottom