young sood
Member
- Jun 16, 2015
- 45
- 2
Wadau,
Ni mwaka wa nne sasa toka nmeoa, lakini mpaka sasa sijapata mtoto na tumezunguka kwa madaktari kibao.Ttatizo kagundulika analo mke wangu hawezi kuzaa. Sasa wadau mimi natamani sana kuwa na mtoto na mke wangu kasha niruhusu nyumba ndogo.
Nifanyaje ukizingatia kipato ndo ivo tena?
Ni mwaka wa nne sasa toka nmeoa, lakini mpaka sasa sijapata mtoto na tumezunguka kwa madaktari kibao.Ttatizo kagundulika analo mke wangu hawezi kuzaa. Sasa wadau mimi natamani sana kuwa na mtoto na mke wangu kasha niruhusu nyumba ndogo.
Nifanyaje ukizingatia kipato ndo ivo tena?