Mke wangu kanibadilikia baada ya ndoa.

Mke wangu kanibadilikia baada ya ndoa.

lara 1 ndio maana huwa napenda sana kuona comments zake na ushauri wake big up hata mimi nilikuwa nafikiria nikianza biashara niwe na simu tofauti na ya sasa
 
Last edited by a moderator:
Mimi USHAURI WANGU NAUTOA FRM EXPERIANCE!!!!!! My Broo nae kabla ya kuoa alikua SWEETIE wa mademu kibao, na hata kuchangia harusi walichanga kinomaaa! Sasa baada ya kuoa si ndio IKAWA KASHESHE!!! Bi dada kila simu ikiita ANAVIMBA KAMA KOBRAAAA! Tukamshauri awe Dk 3 Mbele!!!! Sasa wale SWEETIE umewaambia unaoa nao hawana tabu na mtu, na wamekuchangia, huwezi KUKATA MAWASILIANO GHAFLA!!! Na wengine ni wateja wazuri coz anafanya BUSINESS TOKA CHINA!!!! SULUHISHO TULILOFIKIA NI KUWA NA SIMU MBILI, TENA KAMUONESHA MKEWE, MOJA YA BUSINESS, INALALA KWENYE GARI, NYINGINE YA PERSONAL NDO ANAINGIA NAYO MATRIMONIAL ROOM! LOLEST! Tena Bi Dada alipigwa biti kuwa ASIIZOEE ZOEE ILE SIMU YA BUSINESS KABISA, HIYO PERSONAL AKITAKA ASHINDE NAYO, AKAAMBIWA KAMA ANATAKA WALE MAWE HUMO NDANI ACHEZEE BUSINESS CONECTIONS AND NETWORKS!!! Hahahaaaaaa! Simu anaitaka kuikagua, Kula mawe haweziii, ALISONYAJE KIMYA KIMYA!!! Sasa na wewe UMEWEKEE MKEO MIPAKA!!!! LOL! (Mimi sikuombi kukagua, NAKULIA TIMING TU! IKIINGIA KWENYE 18 ZANGU, NAMBA TATA ZOTE NAZIKOPI, WALA SIKUULIZI, NAZITAFUTIA LINE YA MAGUMASHI!!! UTAISOMA KIMYA! KIMYA! KILA NAYEMSHUKU ATALIJUA JIJI KUWASILIANA NA WEWE! LOLEST!!!)

yani kama ni pepa ningekupa 110/100 yani bonus ten points, exctly to the point, MIPAKA!!
 
He he he pole mkuu,mwenzio hayo masharti nimepewa hata kabla ya ndoa.sasa na nature hii ya kazi yangu ndo balaa tupu coz wengi wa wagonjwa wangu ni wa kike
 
Inawezekana comment yako ni nzuri sana, ila una mwandiko mbaya sana, sisomagi miye miandiko mibovu kama hii.

Unapokuwa JF moja ya faida unazozipata ni kujifunza namna ya kuandika kwa kutenganisha paragraph. chukua hii, utaki unaacha.

Hapo si mwandiko!kwani ameandikia kalamu hapo? tatizo hapo amekuchanganya na mtiririko wa hadithi .
 
Jenga mazingira ya yeye kukuamini. Hakikisha marafiki ulionao ni marafiki wema ambao wana weza kuwa na impact nzuri kwa ndoa yako.. Sio lazima kila rafiki ulie kuwa nae kabla ya ndoa uendelee kuwa nae as wengine labda bado ni bachelor na majukumu yao na yako sasa ni tofauti.. Mfano wao watataka kukaa baa til down au kwenda disco but wewe hili linaweza kuwa tofauti. Punguza urafiki na mabint.. N by the way kama una urafiki na msichana ambaye hakuna jambo baya mkeo nae amjue.. N the gud thing mlifahamiana nae mda mrefu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hivi umewah kujiuliza kama ikitokea yeye akawa na marafiki zake wa zamani wa kiume to the extente ya kupigiana na simu kisha kumalizia na sms za gnt itakuwaje kwako? ngoja nikwambie from experience ya sisi wazee

iko hivi kuna jamaa mmoja yeye alikuwa anajidai sana kwamba mkewe hata akiwasiliana na nan yeye haumii, tena kuna wakati aliwah kumtamkia mkewe kwamba hata uwe unawasiliana na nani mimi sijali hayo ni maisha yako. siku moja wakaboana na mkewe mke akatafuta kampani tu ya kishkaji ili kumliwaza bwana akaona poa tu. siku akamwambia kwa matus kabisa nenda katafute wanaume wakupe hela binti akanyuti.

siku ya siku bwana binti akapata liwazo ambalo lilikuwa liko fresh kimtindo, binti nidham kwa hubby ni A, ikaenda siku mr akabamba sms kwenye simu ya bidada ikitokea kwa liwazo la mkewe yaani jamaa alilia kama mtoto hakuamin but wife alimwambia wazi you said it kwamba nitafute sasa inakuwaje jamaa ooh!.......nilikuwa natania tu mpaka leo jamaa ananidham full kwa wife hakuna tena abuse lg kwani anajua so isije ikawa na wewe huon kama mkeo akifanya hayo itakuumiza subiri na yeye aanze ndo utakapokoma.
 
Mimi USHAURI WANGU NAUTOA FRM EXPERIANCE!!!!!! My Broo nae kabla ya kuoa alikua SWEETIE wa mademu kibao, na hata kuchangia harusi walichanga kinomaaa! Sasa baada ya kuoa si ndio IKAWA KASHESHE!!! Bi dada kila simu ikiita ANAVIMBA KAMA KOBRAAAA! Tukamshauri awe Dk 3 Mbele!!!! Sasa wale SWEETIE umewaambia unaoa nao hawana tabu na mtu, na wamekuchangia, huwezi KUKATA MAWASILIANO GHAFLA!!! Na wengine ni wateja wazuri coz anafanya BUSINESS TOKA CHINA!!!! SULUHISHO TULILOFIKIA NI KUWA NA SIMU MBILI, TENA KAMUONESHA MKEWE, MOJA YA BUSINESS, INALALA KWENYE GARI, NYINGINE YA PERSONAL NDO ANAINGIA NAYO MATRIMONIAL ROOM! LOLEST! Tena Bi Dada alipigwa biti kuwa ASIIZOEE ZOEE ILE SIMU YA BUSINESS KABISA, HIYO PERSONAL AKITAKA ASHINDE NAYO, AKAAMBIWA KAMA ANATAKA WALE MAWE HUMO NDANI ACHEZEE BUSINESS CONECTIONS AND NETWORKS!!! Hahahaaaaaa! Simu anaitaka kuikagua, Kula mawe haweziii, ALISONYAJE KIMYA KIMYA!!! Sasa na wewe UMEWEKEE MKEO MIPAKA!!!! LOL! (Mimi sikuombi kukagua, NAKULIA TIMING TU! IKIINGIA KWENYE 18 ZANGU, NAMBA TATA ZOTE NAZIKOPI, WALA SIKUULIZI, NAZITAFUTIA LINE YA MAGUMASHI!!! UTAISOMA KIMYA! KIMYA! KILA NAYEMSHUKU ATALIJUA JIJI KUWASILIANA NA WEWE! LOLEST!!!)

Waoooo, nimependa sana ushauri wako katika hili especially unaposema from ur experience! Lakini pia njia hii ya line mbili kwangu mimi ni hatua ya kwanza kuelekea mafanikio ambayo ni nzuri sana! Nasuggest kwamba baada ya kutumia trick hii hatua ya mwisho ni kuachana kabisa na wasichana wengine aliokuwa na mahusiano nao kabla hajaoa, full stop!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Unajua nini mkuu hapa huyu mwanamke ameshakucheat tayari.....sasa anacho hisi moyoni ni kwamba tabia alizoziona kwa mwanaume waliokula naye utamu anaanza kuhisi na wewe oviazi utakuwa hivyo so anajaribu kukuchunga huku akijipigia picha ya jaaa ake mpya kua inawezekena wote mpo hivyo....ni saikolojia tu lakini inavyonituma japo kwa umakini sana unaweza kuona ukweli ndani yake

Una uhakika na unayosema wewe? Mwenzio kaomba tumshauri afanyeje we tena unamjaza mineno isokuwa na maana, hebu mpe mwenzio ushauri bwana alaa!

AD mwaya pole, ntakuja kukupa ushauri soon
 
Ndugu ndoa sio rahisi sana kama watu wengi tuvyofikiria, ndoa nitofauti na wapendanao wakawaida (yaani girl & boy friends) cha muhimu mkuu jaribu kubadili tabia, na kuanza maisha mpya MATAKATIFU (yaani mwili mmoja), yale mambo ya kwenye Face Book yaache kabisa, fungua ukurasa mpya wa maisha yenu mapya, MARAFIKI sawa, lakini MKEO ni zaidi ya kila kitu, hiyo simu yako ni nzuri nani mbaya katika maisha ndoa. (husikubali kuwa mtumwa wa simu) Ndiyo maana kuna swala ili - kwamba wapenzi wengi wakiwa mwili mmoja na kufunga ndoa wanaachana na line zao za simu za zamani ili kuepuka upuhuzi unaoweza kujitokeza kwa namna moja au nyingine, unaoletwe na simu za mikononi (kwa vi TOY Girl & toy boy) Mkuu mpende sana mkeo, yeye anakupenda sana ndiyo maana anakufatilia sana, muonyeshe upendo wako kweke. Mwanamke akihamua kupenda anapenda kweli. Mpe nafasi mwenzio na maisha yenu yatakuwa mazuri tu.
 
mi naona hapa tunachemka wengi haswa hao manaosema eti ukioa uache kuwa rafiki na upande wengine, inategemea ni urafiki gani, so ina maana kuwasiliana na mwanamke mwingine ni mapenzi tu? tuache ushamaba, maisha ni mafupi sana kuanza kupeana eti mipaka ya mawasiliano, yees kwa mipaka ya kimapenzi sawa lakini si mawasiliano normal, km ni kuoa au kuolewa ni kifungo>? ss**nz kabisa and to hell with Ndoa. Wanawake mumezidi kuwa na wivu wa kis**shwain kabisa. Mi nadhani wanaume tunakuwaga na heshma sana ktk ndoa ila pale mkeo anapoanza kuleta fyoko kukushuku ndo nawewe unafanya kweli (wapo wachache wanaonzaga sikatai). Ila wanawake mumezidiii, sasa km nafanya kwa siri na sikuonyeshi shida ni nini? cmoon kuweni sensible maisha ya kufurahia haya!! Samahani kwa nliemkwaza
 
Hali zenu wana JF, imenibidi nitumie jukwaa hili ili kuweza kupata ushauri wa busara na hekima. Mimi nimekua na mahusiano na msichana mmoja hivi kwa takribani miaka 6 hivi na hatimaye mwanzoni mwa mwaka tukakubaliana kuingia ktk ndoa. Kimsingi tumeishi vizuri sana kipindi chote cha uchumba wetu potelea mbali matatizo madogo madogo ambayo ni ya kawaida ktk mapenzi, lakini kilichonifanya kuanzisha huu uzi ni kwamba toka nianze kukaa nae mwezi wa 7 amekua na tabia ya kunichagulia marafiki wa kuwasiliana nao kwny simu kitendo ambacho kinanikera sana na tabia hii hakua nayo mwanzo, sms ikiingia anataka awe wa kwanza kusoma hata simu yng ikiita anataka aone nani anapiga na jana nilipigiwa simu na rafiki tu wa kike na yeye alikua nje akifua nguo baada ya kusikia nikiongea kwny simu alikuja dirishani ili kusikiliza mazungumzo yetu na kiukweli yalikua ni mazungumzo ya kawaida ya kutakiana hali cha ajabu yeye akakasirika na kudai kwanini nawasiliana na wasichana nikamwelesha lakini bado, na ikaingia sms ya gd9t tu ya hy hy msichana basi ndo ikawa tabu akaninunia mpaka mda huu hatujaongea nae hata chakula nimekula hotelini. Sijawahi kumcheat hy mwanamke lkn kwake naonekana namcheat daily, nimeongea nae kuhusu hili suala hadi nimechoka. Naomba mnishauri nifanye nini maana nimeishavunja urafiki na watu wengi na nimebadili laini hadi watu wananishangaa lakini kwake hy haitoshi. Nampenda sana lakini huu mwenendo wake umenichosha.

kwa nini hakuamini? simu ikipigwa mwambie awe anapokea, akae nayo ili ajihakikishie, meseji ikitumwa mwachie azisome ikiwezekana ajibu na zingine, isipokuwa simu za kazini au biashara asipokee. mpe uhuru wa kutumia simu.
 
Mkeo hana shida na anakupenda sana. tatizo ni wewe, huyo anakuambia goodnight kabla ya mkeo ni nani?
Hebu tilizana acha mapressure
 
Pole miezi saba tu migogoro imeshaanza ? Bidada hajiamini?

Mungu awapiganie
 
mi naona hapa tunachemka wengi haswa hao manaosema eti ukioa uache kuwa rafiki na upande wengine, inategemea ni urafiki gani, so ina maana kuwasiliana na mwanamke mwingine ni mapenzi tu? Tuache ushamaba, maisha ni mafupi sana kuanza kupeana eti mipaka ya mawasiliano, yees kwa mipaka ya kimapenzi sawa lakini si mawasiliano normal, km ni kuoa au kuolewa ni kifungo>? Ss**nz kabisa and to hell with ndoa. Wanawake mumezidi kuwa na wivu wa kis**shwain kabisa. Mi nadhani wanaume tunakuwaga na heshma sana ktk ndoa ila pale mkeo anapoanza kuleta fyoko kukushuku ndo nawewe unafanya kweli (wapo wachache wanaonzaga sikatai). Ila wanawake mumezidiii, sasa km nafanya kwa siri na sikuonyeshi shida ni nini? Cmoon kuweni sensible maisha ya kufurahia haya!! Samahani kwa nliemkwaza

shida ndiyo hiyo kufanya kwa siri.
 
kaka hilo ni kosa kubwa sana. Mimi nimejifunza siwezi kuwa na msichana mwingize ama kuzoeana na demu mwingine zaidi ya msichana wangu tu. thats all. So nakushauri uachane kabisa na wasichana wengine ukiwazoea ama wanakupigia ama nini utaipoteza ndoa. Hapo mke wako hana kosa na yupo so right wewe omba msamaha na focus kwa mke wako tu .

wapi CUTE agonge mi-like na kukumwagia mibusu!?
 
of all the names on earth why Access Denied has chosen to call himself such a name?najiuliza huku nikihusianisha na mada yako!?mkeo akijaribu kushika simu yako unamkatalia?au umeweka password?nina mashaka na namna unavyoi-treat simu yako na life style yako kiujumla,vinamtia mashaka mkeo!jifunze kuishi maisha ya kumpa amani mwanamke wako!utapata kilicho bora toka kwake.
 
we ni mwanamume kuwa mume kweli unatakiwa kuwa na msimamo kama baba wa familia mweke chini mkanye hiyo sio tabia nzuri n itasababisha mabaya katika ndoa yenu....ajiulize kwani alikukuta bikra na ulikuwa huna friends kabisa
 
Back
Top Bottom