Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Mpige Mimba ata kuifata simu ataona uvivu..
Ushauri mwingine unshangaza sana!
Mpige Mimba ata kuifata simu ataona uvivu..
Acha kuzoeana na wasichana wengine, hata kama mlikua na mazoea before ndoa sasa hivi tengeneza mipaka ya maana.Mfano mzuri ni mimi mwenyewe,nilivooa kuna wasichana tumesoma nao na bahati mbaya mimi tokea naanza shule nimesoma shule za mchanganyiko yaani co-education na pia wengine tunafanya nao kazi. Lakini baada ya kumweka mama watoto ndani simu zisizo za lazima nilishaambia sitaki unless ni mchana au ni wakati ambao najua kuwa mke wangu yupo mbali na mimi.
Nafanya hivo sio kusema kuwa namcheat mke wangu, la hasha nafanya hivo kwa kuwa sitaki mke wangu awe na chembe ya doubt na mimi.Pia kuna wasichana wengine ni marafiki zangu na wamenisaidia to the certain point to reach here am kwa hiyo si mbaya kuwatambulisha kwa mke wako na once unapopokea simu ya hao wasichana mke wako anakuwa huru kidogo lakini sio njia ya kila muda kuwasiliana na hao wasichana na pia wasiwe wengi kama uyoga maybe wawili watatu bt wasizidi.Ni mbaya sana mke wako kuanza kukuhisi kuwa unamcheat please just be open with her na kama unaona hapendi hayo mawasiliano just cut it off completely maana bwana mama watoto ni mama watoto tu
kaka hilo ni kosa kubwa sana. Mimi nimejifunza siwezi kuwa na msichana mwingize ama kuzoeana na demu mwingine zaidi ya msichana wangu tu. thats all. So nakushauri uachane kabisa na wasichana wengine ukiwazoea ama wanakupigia ama nini utaipoteza ndoa. Hapo mke wako hana kosa na yupo so right wewe omba msamaha na focus kwa mke wako tu .
Inawezekana comment yako ni nzuri sana, ila una mwandiko mbaya sana, sisomagi miye miandiko mibovu kama hii.
Unapokuwa JF moja ya faida unazozipata ni kujifunza namna ya kuandika kwa kutenganisha paragraph. chukua hii, utaki unaacha.
Mimi USHAURI WANGU NAUTOA FRM EXPERIANCE!!!!!! My Broo nae kabla ya kuoa alikua SWEETIE wa mademu kibao, na hata kuchangia harusi walichanga kinomaaa! Sasa baada ya kuoa si ndio IKAWA KASHESHE!!! Bi dada kila simu ikiita ANAVIMBA KAMA KOBRAAAA! Tukamshauri awe Dk 3 Mbele!!!! Sasa wale SWEETIE umewaambia unaoa nao hawana tabu na mtu, na wamekuchangia, huwezi KUKATA MAWASILIANO GHAFLA!!! Na wengine ni wateja wazuri coz anafanya BUSINESS TOKA CHINA!!!! SULUHISHO TULILOFIKIA NI KUWA NA SIMU MBILI, TENA KAMUONESHA MKEWE, MOJA YA BUSINESS, INALALA KWENYE GARI, NYINGINE YA PERSONAL NDO ANAINGIA NAYO MATRIMONIAL ROOM! LOLEST! Tena Bi Dada alipigwa biti kuwa ASIIZOEE ZOEE ILE SIMU YA BUSINESS KABISA, HIYO PERSONAL AKITAKA ASHINDE NAYO, AKAAMBIWA KAMA ANATAKA WALE MAWE HUMO NDANI ACHEZEE BUSINESS CONECTIONS AND NETWORKS!!! Hahahaaaaaa! Simu anaitaka kuikagua, Kula mawe haweziii, ALISONYAJE KIMYA KIMYA!!! Sasa na wewe UMEWEKEE MKEO MIPAKA!!!! LOL! (Mimi sikuombi kukagua, NAKULIA TIMING TU! IKIINGIA KWENYE 18 ZANGU, NAMBA TATA ZOTE NAZIKOPI, WALA SIKUULIZI, NAZITAFUTIA LINE YA MAGUMASHI!!! UTAISOMA KIMYA! KIMYA! KILA NAYEMSHUKU ATALIJUA JIJI KUWASILIANA NA WEWE! LOLEST!!!)
furahia wifio kupata hayo na kushauri kaka aendelee na mawasiliano kwa sababu ya mchango, wengine lazima ameala nao au analala nao. na wewe unafurahia hivi mmhh. mie huwa sifurahii matatizo ya mwanamke mwenzangu ikija kwa wanaume.
ushauri wenu kwa kaka yenu sio mzuri na ujanja mnaompa subirini siku muombe asiende 2 kilos. maana kama ni business sioni kwa nini mke wake asiweze pokea hizo simu na simu kuwa free. siku akifunguka macho na yeye kuwa na simu ya business mfunge midomo yenu.
nasema tena mmeshauri jambo baya kuwaweka kando kando badaa ya kuwaunganisha na kusuruhisha tatizo. sasa kweli na hii michango ya harusi inasikitisha, kuomba msaada ndio ndoa mke anateseka duh. michango hiyo inamaanisha haikuwa na faida, harusi ndogo ya wachache ingeeta furaha kuliko kukubali pesa za ma hawala.
kaka hilo ni kosa kubwa sana. Mimi nimejifunza siwezi kuwa na msichana mwingize ama kuzoeana na demu mwingine zaidi ya msichana wangu tu. thats all. So nakushauri uachane kabisa na wasichana wengine ukiwazoea ama wanakupigia ama nini utaipoteza ndoa. Hapo mke wako hana kosa na yupo so right wewe omba msamaha na focus kwa mke wako tu .
Ushauri mwingine unshangaza sana!
Hapo si itakua zaidi maana nasikia wakiwa na mimba ndo huzidisha matatizo!
Akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa, acha kuvamia watu am always here.
af jitazame na wewe best!akili kubwa ni pamoja na kukubali upekee wa kila mtu!lolest!
Ndugu yangu MIE FUNGU LA KUKOSA HUMU JF!!! Nashukuru UMENITETEA, ila naona jamaa NAKUTAFUTIA BAN!!! Poleee! Mi nimenyamaza to sababu HE IS NOT EVEN WORHT MY COMMENT!!!!
Huu ndio upekee au ujinga? umesoma shule gani wewe? Mwalimu wako hana la kujivunia kwako. Hivi unafahamu maana ya Unique?af jitazame na wewe best!akili kubwa ni pamoja na kukubali upekee wa kila mtu!lolest!
Huu ndio zaidi ya ujinga, Can't you stand with you're own foot?mamii!huyu hawezi kunitafutia ban huyu!nafkiri unaujua mtiti wangu mamii!nikiwa na kampuni yangu chini ya uongozi wa boss wetu Madame B,wala sina haja ya kujibishana nae!he really dasnt worth it!
kaka hilo ni kosa kubwa sana. Mimi nimejifunza siwezi kuwa na msichana mwingize ama kuzoeana na demu mwingine zaidi ya msichana wangu tu. thats all. So nakushauri uachane kabisa na wasichana wengine ukiwazoea ama wanakupigia ama nini utaipoteza ndoa. Hapo mke wako hana kosa na yupo so right wewe omba msamaha na focus kwa mke wako tu .
![]()
Tayari binti kampata amfurahishaye, jifunze mbinu mpya, acha kuishi kwa mazoea.