Blaza,unatia huruma at the same time unatia hasira....ngoja niisbie hapo nisije tukana bureNaitwa John niko kwenye ndoa mwaka wa 9 na tumejaaliwa na mke wangu watoto wawili. Nilikuwa muajiriwa lakini niliacha kazi na kuanza biashara zangu binafsi miaka miwili iliyopita. Kiukweli mke wangu ni muajiriwa wa Serikali na kipato chake ni kikubwa kuliko mimi.
Msema kweli mpenzi wa Mungu tangu nilivyoacha kazi mke wangu kwa asilimia kubwa ndiye amekuwa akiibeba familia kwa mambo mengi yanayohusu pesa kuanzia nyumbani mpaka kwenye ada za watoto shule.
Nilichogundua kwa miaka hiyo miwili amekuwa haniheshimu hata kidogo yaani amekuwa akionesha dharau kubwa saa nyingine mpaka mbele za watoto wangu lakini nimekuwa nikimvumilia.
Kilichoniudhi kuliko vyote ni Jumamosi hii alirudi nyumbani usiku akiwa amelewa na nilipomuhoji akaniambia nikae kimya kwani wanaume wenzangu wenye hela zao ndio waliomnunulia pombe na ndio wanaompa hela za kutunza familia nikiwemo mimi.
Jambo hilo liliniuma sana na naomba nikiri kusema nililia kwa masaa mawili peke yangu. Cha ajabu asubuhi nilipomkumbusha akaniambia nimsamehe kwani zilikuwa pombe tu na hatarudia tena.
Naomba ushauri nifanyeje? Natamani kuondoka nikapange nyumba nyingine lakini watoto wangu sijui watanichukuliaje.
Mwanamume anayemwaga chozi kisa anadharauliwa na mkewe hafai kuitwa mume au baba.nikiri kusema nililia kwa masaa mawili peke yangu.
Hawa ni wakina Mussa banzi filmHivi watu huwa mko serious kabisa kwamba una-expose matatizo yako kama hivi unategemea kupata msaada au inakuwa changamsha genge tu
We mwenyewe tatizo umeshaona ni kibunda kupungua then unaomba ushauriwe nini man,tafuta kibunda taratibu kama alipangwa kuwa na wewe milele atabaki tu kama haikupangwa piga goti shukuru Mungu endelea na safari
Wewe lofa! Mwanamme ukipoteza nafasi yako kama mme unakuwa lofa na bwege! Kilichobaki ni kupigwa makofi na huyo mwanamke! Mke akiwa na kipato ni fursa ya kuchukua kipato chake kuwa mtaji wa kujitengenezea biashara kurudisha heshima! Umeshindwa hilo unakuja hapa kulialia! MxiuuuuhNaitwa John niko kwenye ndoa mwaka wa 9 na tumejaaliwa na mke wangu watoto wawili. Nilikuwa muajiriwa lakini niliacha kazi na kuanza biashara zangu binafsi miaka miwili iliyopita. Kiukweli mke wangu ni muajiriwa wa Serikali na kipato chake ni kikubwa kuliko mimi.
Msema kweli mpenzi wa Mungu tangu nilivyoacha kazi mke wangu kwa asilimia kubwa ndiye amekuwa akiibeba familia kwa mambo mengi yanayohusu pesa kuanzia nyumbani mpaka kwenye ada za watoto shule.
Nilichogundua kwa miaka hiyo miwili amekuwa haniheshimu hata kidogo yaani amekuwa akionesha dharau kubwa saa nyingine mpaka mbele za watoto wangu lakini nimekuwa nikimvumilia.
Kilichoniudhi kuliko vyote ni Jumamosi hii alirudi nyumbani usiku akiwa amelewa na nilipomuhoji akaniambia nikae kimya kwani wanaume wenzangu wenye hela zao ndio waliomnunulia pombe na ndio wanaompa hela za kutunza familia nikiwemo mimi.
Jambo hilo liliniuma sana na naomba nikiri kusema nililia kwa masaa mawili peke yangu. Cha ajabu asubuhi nilipomkumbusha akaniambia nimsamehe kwani zilikuwa pombe tu na hatarudia tena.
Naomba ushauri nifanyeje? Natamani kuondoka nikapange nyumba nyingine lakini watoto wangu sijui watanichukuliaje.
Kuwa na self respect ndugu, funga virago ukaanze maisha yako upya. Mungu si Athumani!Naitwa John niko kwenye ndoa mwaka wa 9 na tumejaaliwa na mke wangu watoto wawili. Nilikuwa muajiriwa lakini niliacha kazi na kuanza biashara zangu binafsi miaka miwili iliyopita. Kiukweli mke wangu ni muajiriwa wa Serikali na kipato chake ni kikubwa kuliko mimi.
Msema kweli mpenzi wa Mungu tangu nilivyoacha kazi mke wangu kwa asilimia kubwa ndiye amekuwa akiibeba familia kwa mambo mengi yanayohusu pesa kuanzia nyumbani mpaka kwenye ada za watoto shule.
Nilichogundua kwa miaka hiyo miwili amekuwa haniheshimu hata kidogo yaani amekuwa akionesha dharau kubwa saa nyingine mpaka mbele za watoto wangu lakini nimekuwa nikimvumilia.
Kilichoniudhi kuliko vyote ni Jumamosi hii alirudi nyumbani usiku akiwa amelewa na nilipomuhoji akaniambia nikae kimya kwani wanaume wenzangu wenye hela zao ndio waliomnunulia pombe na ndio wanaompa hela za kutunza familia nikiwemo mimi.
Jambo hilo liliniuma sana na naomba nikiri kusema nililia kwa masaa mawili peke yangu. Cha ajabu asubuhi nilipomkumbusha akaniambia nimsamehe kwani zilikuwa pombe tu na hatarudia tena.
Naomba ushauri nifanyeje? Natamani kuondoka nikapange nyumba nyingine lakini watoto wangu sijui watanichukuliaje.
Noma sana 2017 kaburi hiliBumbav unatuletea story za Facebook za mwaka 47View attachment 2869064
Toa ushahidiNyie watu mbona mnajichosha Kwa hizi story za Facebook?
Jana alikuwa na story za mume wake na Leo amekuja na story ya mke wake
😂😂😂😂Mkuu wewe kama sio shoga basi muda sio mrefu watakushikisha ukuta..kila la heri
ana jinsia 2Wewe unazingua bhana! Mara mumeo malaya, sasa hivi mkeo ndio shida. Wewe jinsia gani? Acha utoto na kuleta visa vya huko fb kwa kina iddi makengo
Kuwa Muislam utajuwa cha kufanya.Naitwa John niko kwenye ndoa mwaka wa 9 na tumejaaliwa na mke wangu watoto wawili. Nilikuwa muajiriwa lakini niliacha kazi na kuanza biashara zangu binafsi miaka miwili iliyopita. Kiukweli mke wangu ni muajiriwa wa Serikali na kipato chake ni kikubwa kuliko mimi.
Msema kweli mpenzi wa Mungu tangu nilivyoacha kazi mke wangu kwa asilimia kubwa ndiye amekuwa akiibeba familia kwa mambo mengi yanayohusu pesa kuanzia nyumbani mpaka kwenye ada za watoto shule.
Nilichogundua kwa miaka hiyo miwili amekuwa haniheshimu hata kidogo yaani amekuwa akionesha dharau kubwa saa nyingine mpaka mbele za watoto wangu lakini nimekuwa nikimvumilia.
Kilichoniudhi kuliko vyote ni Jumamosi hii alirudi nyumbani usiku akiwa amelewa na nilipomuhoji akaniambia nikae kimya kwani wanaume wenzangu wenye hela zao ndio waliomnunulia pombe na ndio wanaompa hela za kutunza familia nikiwemo mimi.
Jambo hilo liliniuma sana na naomba nikiri kusema nililia kwa masaa mawili peke yangu. Cha ajabu asubuhi nilipomkumbusha akaniambia nimsamehe kwani zilikuwa pombe tu na hatarudia tena.
Naomba ushauri nifanyeje? Natamani kuondoka nikapange nyumba nyingine lakini watoto wangu sijui watanichukuliaje.