Mke wangu kamtembezea kipigo mchepuko wangu

Mke wangu kamtembezea kipigo mchepuko wangu

Loh!! wew kweli balaa unajua hadi miguno ya mijimama, aisee ndio mimi tunaishi mtaa mmoja nakuonaga unavyohangaika na mahouse girl wetu hapa mtaani.

Ha ha aha ha ha ha ha!!!!!

Si ndio huwaga unahangaika kutafuta namba zangu kwa yule dada wa saloon pale kwny kona
 
Si ndio huwaga unahangaika kutafuta namba zangu kwa yule dada wa saloon pale kwny kona

Nilikuwa naitafuta namba yako ili nimpe baba wa house girl wangu uliyemjaza kimimba, maana tangu umpe yule house girl wangu mimba umekimbia hujulikani ulipo kalubandika wewe.

Halafu hiyo AVATAR yako inanikeraa.
 
Nilikuwa naitafuta namba yako ili nimpe baba wa house girl wangu uliyemjaza kimimba, maana tangu umpe yule house girl wangu mimba umekimbia hujulikani ulipo kalubandika wewe.

Halafu hiyo AVATAR yako inanikeraa.

Mmmmh huo mwanzo wa kumpenda!
 
Nilikuwa naitafuta namba yako ili nimpe baba wa house girl wangu uliyemjaza kimimba, maana tangu umpe yule house girl wangu mimba umekimbia hujulikani ulipo kalubandika wewe.

Halafu hiyo AVATAR yako inanikeraa.

Hiyo avatar si ndio inayokupagawisha, halafu yule dada Wa saloon alisema eti ulimwambia akifanikisha zoezi la wewe kuanguka na mimi kwny 6*6 utampa Zawadi
 
Mmmmh huo mwanzo wa kumpenda!

Nampenda tangu zamani tatizo bangi na mimacho hiyo inanikeraaaaaaaa.

Hiyo avatar si ndio inayokupagawisha, halafu yule dada Wa saloon alisema eti ulimwambia akifanikisha zoezi la wewe kuanguka na mimi kwny 6*6 utampa Zawadi

Halafu yule dada alisema eti wewe umempitia yeye na shoga zake woteee, wengine wanamiwaya ndio maana nikasema lazima nimwambie baba h gal wangu akugeuze big G WEWE.
 
Nampenda tangu zamani tatizo bangi na mimacho hiyo inanikeraaaaaaaa.



Halafu yule dada alisema eti wewe umempitia yeye na shoga zake woteee, wengine wanamiwaya ndio maana nikasema lazima nimwambie baba h gal wangu akugeuze big G WEWE.

Alikudanganya bana ni yeye tu niliyemgegeda kwa hiyo alikuwa anaona wivu ndio maana akakunyima namba yangu, hiyo ya miwaya ni mkwara tu ili ukate tamaa
 
Nampenda tangu zamani tatizo bangi na mimacho hiyo inanikeraaaaaaaa.



Halafu yule dada alisema eti wewe umempitia yeye na shoga zake woteee, wengine wanamiwaya ndio maana nikasema lazima nimwambie baba h gal wangu akugeuze big G WEWE.

Kama unataka kuona wanachofanyiwa hao mahouse G
 
Back
Top Bottom