mjanjamjanja
Member
- Feb 11, 2014
- 32
- 2
Habari zenu ndugu wa mmu,
Ni hivi nmebahatika kuoa na kupata babyboy moja.Nmedumu kwenye ndoa miaka 3 na mke wangu.
Nmeishi na mke wangu kwa upendo na furaha.Miezi mitatu iliyopita mke wangu alienda Kwao Mwanza,maana tangia nimuoe hajafika huko.Sasa alivyorudi amebadilika kila kitu kuanzisha furaha,upendo,hanijali tena Yaani amebadilika kabisa sio yule mke wangu wa Kwanza.mi mpaka na hisi Kwao huko wamemfanyia kitu......
Hebu ushaurini nifanye nini maana akili yangu sasa inawaza kumpiga kibuti tu.....talaka
Ni hivi nmebahatika kuoa na kupata babyboy moja.Nmedumu kwenye ndoa miaka 3 na mke wangu.
Nmeishi na mke wangu kwa upendo na furaha.Miezi mitatu iliyopita mke wangu alienda Kwao Mwanza,maana tangia nimuoe hajafika huko.Sasa alivyorudi amebadilika kila kitu kuanzisha furaha,upendo,hanijali tena Yaani amebadilika kabisa sio yule mke wangu wa Kwanza.mi mpaka na hisi Kwao huko wamemfanyia kitu......
Hebu ushaurini nifanye nini maana akili yangu sasa inawaza kumpiga kibuti tu.....talaka