Cassava
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 282
- 36
Wakuu,
Kisa chenyewe ni hiki;
Mwenzenu mke wangu hasomeki. Mimi nina rafiki yangu tangu enzi hizo tuko primary. Huyu jamaa yangu, binti yake kaolewa na sasa ni mjamzito. Kama mnavyojua ujauzito wa mtoto wake wa kwanza huyu rafiki yangu kapagawa kushinda Mkwe wake.
Wanaishi bush, sasa ameniomba binti take aje akae kwangu ili ajisubilishe kujifungua katika hospital nzuri town.Ombi lake lilikuwa la maongezi kwa njia ya simu, mimi kwa haraka haraka bila kumshtua/kumwambia mke wangu nikakubàli.
Nilipofika nyumbani nikamweleza ujio wa wageni hawa. Aisee sikutegemea, mke wangu aliwaka kama Mbogo, na kuanza kuniambia wewe mimba unaijua?
Akakomaa kuwa hataki kuwaona hapa.
Sasa wakuu, wenye wapenzi hii issue ni i handle namna gani? Manake jamaa nimeshamuahidi, sasa kumwambia asije naona soo.
Nipeni mawazo wandugu
Kisa chenyewe ni hiki;
Mwenzenu mke wangu hasomeki. Mimi nina rafiki yangu tangu enzi hizo tuko primary. Huyu jamaa yangu, binti yake kaolewa na sasa ni mjamzito. Kama mnavyojua ujauzito wa mtoto wake wa kwanza huyu rafiki yangu kapagawa kushinda Mkwe wake.
Wanaishi bush, sasa ameniomba binti take aje akae kwangu ili ajisubilishe kujifungua katika hospital nzuri town.Ombi lake lilikuwa la maongezi kwa njia ya simu, mimi kwa haraka haraka bila kumshtua/kumwambia mke wangu nikakubàli.
Nilipofika nyumbani nikamweleza ujio wa wageni hawa. Aisee sikutegemea, mke wangu aliwaka kama Mbogo, na kuanza kuniambia wewe mimba unaijua?
Akakomaa kuwa hataki kuwaona hapa.
Sasa wakuu, wenye wapenzi hii issue ni i handle namna gani? Manake jamaa nimeshamuahidi, sasa kumwambia asije naona soo.
Nipeni mawazo wandugu