smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
Hata km ni ivo!! Nyota hiyo ni ya mwanaume!!!Maelezo ya mtoa mada yana viashiria vya wazi kuwa hilo gali mke amenunuliwa na mchepuko.
siku akiamua kumuacha huyo ke kwa vitimbi hivi!!
Woooote watafirisika ghafla!! Gari litakufa kibudu!! Tena bila kugongwa...mwenye nyota yake muwako kaondoka..
Heshimu na ogopa sana mtu unae nyanyuka nae kimaisha ukawa somebody siku hizi...
Kamatia ndo hirizi yako hiyo amini usiamini.....chunguza uone...uki bugie tu, ukamtema!! si rahisi tena kurudi kwa mstari mnyoofu....jaribu tu uone... Utalia lia umerogwa....hali itakuwambaya zaidi ukienda kujiagua ndo ntolee babaeeee.!!..