Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,594
- 2,717
Usimuamini sana mwanamke, hiyo gari mlinunua bei gani ?, hiyo tabia anayoionesha lazima kina kitu kiko nyuma yake, hawa wanawake huwa hawajui kuficha hisia, kama hiyo gari ingekuwa imenunuliwa kwa pesa yako 100% asingeweza kukuleta zengwe, unaweza kuwa ulitoa hela akaipeleka kwao halafu akahongwa kununua gari hiyo, mchunguze sana, hayuko peke yakeMkuu wangu, kila hatua alinihusisha na ninataka nikuhakikishie kwamba pesa za manunuzi zilitokana na biashara na hiyo biashara ni yetu. Naiita ni yetu kwa mantiki mimi ndiye mtoa mtaji kwa 100% na nikamkabidhi kama ajira yake lkn kitega uchumi cha familia.
Sent using Jamii Forums mobile app