Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,724
Muache hii tabia. You gotta be real and change attitudes! Ubinafsi ni janga katika mahusiano ni kama maji na mafutaDuuuh
Kweli wanawake selfish asee
Muache hii tabia. You gotta be real and change attitudes! Ubinafsi ni janga katika mahusiano ni kama maji na mafutaDuuuh
Kweli wanawake selfish asee
😅😅😅😅😅😅😅😅 Kwa mwanamke mshamba ndio atamaindi kuhusu gari ila mjanja anaona sawa tu sio ishu!Mwee kosa kubwa sana kudandi gari la mke.
Yaani usijaribu ata siku moja kutumia kitu cha mwanamke (kasoro papuchi yake ambayo unalipia). Kufanya hivyo ni kukaribisha matusi ya rejareja tuu.
Heheheheh unakaribisha vita ya 3 sababu nae akisema alimpa lift baharia lazma pafuke moshi mjengoni😂😂😂Achana na Gari yake, ww fanya safar zako bila gari yake ila hakikisha ukirudi sifia Demu aliekupa lift kuwa ana roho ya huruma na ubinadam sana.
Wakati mwingine mwambie kuna rafiki ako wa kike atakuazima gar yake ili yeye asikose kitoka na gari yake
Wanawake hiyo ni hulka yao..Muache hii tabia. You gotta be real and change attitudes! Ubinafsi ni janga katika mahusiano ni kama maji na mafuta
Wewe uliwahi kuwa real wapi?Kumsifia Mama wa kambo pale anapovunja katiba na sheria?Thats true my brother, usipokula ndumu unakuwaga real kichizi
Not at all! Ni kujiendekeza tu😅 ukiamua kubadilika unabadili mtazamo tuWanawake hiyo ni hulka yao..
U can't change this
Zile ni siasa tu mkuu usimaindi sana babaake atuko safi!Wewe uliwahi kuwa real wapi?Kumsifia Mama wa kambo pale anapovunja katiba na sheria?
Hili ndio kiini cha tatizo😂 sio level zake!Ila jaman hakuna kitu kigumubkama kuwa na partner mbinafsi. Sisi wanawake sometimes chenga sana. Tafuta rafiki wa kike mwenye gari mwaya uwe unalitumia.
Halaf anakudharau. Keshakuona wewe siyo type yake tena
Hii ni kweli kabisa....siku hizi fake love ndo limetamalaki!Hiyo ya kutokumpenda inawezekana kwa sababu mwanamke akitaka kuolewa wanakitu wanasema kujifunza kupenda (developing love)Sasa mapenzi ya namna hii wakati mwingine hayana uhalisia kwa iyo akishapata nguvu ndio anagundua hana mapenzi na huyo mtu
Mmmmh tutabadilika halafu tunarudi kule kule....tabia ni kama ngoziNot at all! Ni kujiendekeza tu ukiamua kubadilika unabadili mtazamo tu
Mmh okay mie tabia ya ubinafsi ni ngumu sana ku deal nayo tena iwe dhahiri namna hiyo eti mke ananinunia kabisa waiii😅😅😅Mmmmh tutabadilika halafu tunarudi kule kule....tabia ni kama ngozi
Lakini hili ni tatizo la jamii nzima hasa Tanzania wanawake hawana maamuzi kwenye mapenzi ndio maana hawawezi kutongoza mwanaume anayemtaka pia wanawake wanafundishwa kumpenda mtu mwenye kitu ndio maana sio ajabu kusikia mama anamkataza binti yake kuwa na mtu kwa sababu hana kitu "atakupa nini yule" kwaiyo hii madhara yake ni makubwa kwenye maisha ya ndoa kama anayokutana nayo mleta uziHii ni kweli kabisa....siku hizi fake love ndo limetamalaki!
Mwanamke pata pesa tujue tabia yako
Nahesabu comments za kweli!Kuna mengi huyajui! Siyo kwamba ukiendesha anaogopa kuwa utamsababishia ajali bali anaona aibu kuwa na wewe kwenye gari ndiyo maana anakaa nyuma. Kwa kifupi anaona wewe siyo type yake kwa sasa. Mengi huyajui ila ngoja niishie hapo!
Hii ni comment ya pili ya kiume!Huyo ni mke au takataka? Kwanza ana umri gani?
Infact, wewe pia una umri gani? I must be honest, kuna utoto na irresponsibility mahali fulani!
Kuwa nae makini sana huyo mkeo ana tabia ya uchoyo na ubinafsi! Jiandae baada ya muda kugawana mali pasu kwa pasu baada ya talaka! Na talaka haiko mbali!
No wonder ni mroho wa chakula pia?
Kwanza huwa mnakula mezani nyie? Au mnajificha ficha tu na mabakuli ya mchuzi uvunguni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!Maelezo ya mtoa mada yana viashiria vya wazi kuwa hilo gali mke amenunuliwa na mchepuko.
Hahaha aisee. Naomba jamaa apambane anunue kali kuzidi ya mkeweHili ndio kiini cha tatizo sio level zake!
Comment ya tatu ya kiume!!Mkuu unakosea Sana, yani umpe mke biashara aendeshe halafu usifuatilie mapato?
Wewe ndiye unapaswa uamue matumizi ya mapato sio yeye kujiamulia.
Leo amenunua gari kwa jina lake kesho atajenga nyumba kwa jina lake kitakachofuata hapo ndipo Utajua mke sio ndugu.